Kevo
JF-Expert Member
- Jun 12, 2008
- 1,333
- 52
Hata kwenye mabaa yetu ya mtaani wanawazuia machinga sembuse vibatavuzi kuzuiwa
Kwenye jiji la Arusha kwa wale ambao wameshafika sehemu inaitwa Maasai Camp watakuwa wanajua kwamba hamna mtu anayeruhusiwa kuingia pale kwa miguu maana yake lazima uwe na gari ili uweze kuingia na sababu maalun=mu ni kwamba ili kuzuia vibaka na flycatchers ambao still ndio wanaojaza hiyo sehemu ya starehe na vibaka tele!