Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,571
- 2,068
Mlevi mmoja alikuwa anapita kando ya mto, mara akamwona Pastor anawabatiza watu. Akaamua na yeye kujiunga kwenye foleni, ilipofika zamu yake akazamishwa mara ya kwanza. Akaulizwa ''umempokea YESU? Akajibu ''hapana'' akazamishwa tena, akaulizwa ''umempokea YESU? Akasema ''hapana'' akazamishwa mara ya tatu, akaulizwa ''umempokea YESU? Akajibu ''HIVI UNA UHAKIKA ALIZAMA HAPA? Au unanisumbua tu.