Kimbweka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2009
- 8,597
- 1,683
Kuna mlevi mmoja alikuwa katokea kilabuni akapita karibu na Mahubiri na mambo yalikuwa hivi
Muhubiri: Ndugu zanguni tubuni ili muweze kwenda mbinguni, huko kuna asali
nyingi saaanaaa na maziwa mengiii ni nchi mpya tuliyoandaliwa
Mlevi akawaza moyoni mwake akaropoka
Mlevi: Kama huko mbinguni kuna asali nyingi saaanaaa basi kutakuwa na nyuki
wengi , sasa nani anataka kuenda huko akang'atwe na manyuki?
Muhubiri akabaki amebung'aaa tu
Muhubiri: Ndugu zanguni tubuni ili muweze kwenda mbinguni, huko kuna asali
nyingi saaanaaa na maziwa mengiii ni nchi mpya tuliyoandaliwa
Mlevi akawaza moyoni mwake akaropoka
Mlevi: Kama huko mbinguni kuna asali nyingi saaanaaa basi kutakuwa na nyuki
wengi , sasa nani anataka kuenda huko akang'atwe na manyuki?
Muhubiri akabaki amebung'aaa tu