Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 5,972
- 3,830
Kwa wale waliosoma MKWESE SEKONDARI.....nimepata taarifa za msiba wa MZEE MGHUYAA uliotokea siku ya KRISMAS
Mzee wetu alikuwa ni mtumishi wa shule hii kwa kipindi kirefu....wengi tuliopita pale tunamkumbuka kwa moyo wake wa ukarimu na ucheshi.....! mwingi wa utani na kufanya boarding life iwe easy......!
REMEMBER YOU MZEE MGHUYAA.....!
Mzee wetu alikuwa ni mtumishi wa shule hii kwa kipindi kirefu....wengi tuliopita pale tunamkumbuka kwa moyo wake wa ukarimu na ucheshi.....! mwingi wa utani na kufanya boarding life iwe easy......!
REMEMBER YOU MZEE MGHUYAA.....!