Unamkumbuka Teacher Mwaipaja... kila nikimkumbuka nacheka kwa vituko vyake ...pwaaaaaaaaa!i did PCM from '97 to '99 you probably tought me.
Unamkumbuka Teacher Mwaipaja... kila nikimkumbuka nacheka kwa vituko vyake ...pwaaaaaaaaa!
hUKO MBALI SANA ILA WA 1979 TUPOOOOO..................NILIKUWA H GIRL ASSISTANT
mwaipaja alikuwa anasema' unataka kuwa nani wewe? lawyer? engineer/ hapana hii si kazi yako wewe, ni kazi ya PCM student' siku hizi hata sijui yupo wapi! mimi ni 1996-1998.
duuh mi ndo nipo 1yr old,hapo,ulisoma na baba yangu!! st george au ilishafutwa hilo jina?
KUMBE TUNACHAT NA WANETU HUKU. Niamkie plz!
babako alikuwa anaitwa nani?
Umenikumbusha , ilitokea kaugonjwa ..ka-kipindupindu basi shule nzima ikabidi tupewe midawa ya kumeza kujikinga.. Ticha Mwaipaja akawa anasimamia na kusema haya HGL anza, Fatia PCB , CBE fuati basi mwishoni akasema PCM student nyie wa mwisho maana nimeshahakikisha hii siyo sumu maana haijawadhuru waliotangulia kuinywa! PCM student ni wa thamani sana ...hahahahaha nimekumbuka mbali sana
nilimpenda saana,alirisaidia nikapata kibanda cha Pure maths. strength yake kubwa ni kujenga confidence kwa wanafunzi wake, kufundisha hawezi kumzidi Mr. Kavuraya. alivyoondoka mkwawa nilisikia yupo Mzumbe(the then IDM Mzumbe)Unamkumbuka Teacher Mwaipaja... kila nikimkumbuka nacheka kwa vituko vyake ...pwaaaaaaaaa!
Mwendesha mashtaka wa polisi Inspekta Idd Kiwogoma alimwambia Hakimu Sundi Fimbo kuwa mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo baada ya kujifanya wakala wa shule hiyo ya sekondari na kuchukua mikate 130 kutoka kwa Haruna Issa.
tehe tehe, bila kumsahau mtu mfupi mgimwa, kwa makanyagio mzee chuwa na nelson,kaazi kweli kweli, na yule mama wa aggrey alikuwa mnoko akachezea kipondo mama massawe, aliacha kabisa kwenda mjini kwa miguuu. Na mwalimu masebo wa lumumba west
Umenikumbusha , ilitokea kaugonjwa ..ka-kipindupindu basi shule nzima ikabidi tupewe midawa ya kumeza kujikinga.. Ticha Mwaipaja akawa anasimamia na kusema haya HGL anza, Fatia PCB , CBE fuati basi mwishoni akasema PCM student nyie wa mwisho maana nimeshahakikisha hii siyo sumu maana haijawadhuru waliotangulia kuinywa! PCM student ni wa thamani sana ...hahahahaha nimekumbuka mbali sana
aha ahahaha mkuu ni kweli kabisa,nami nilikuwa hapo miaka hiyo 2001-2003Then madem walikuwa wanaogea nje!! ukitoka nje asbh sana unaona video tu mi nilikuwa lazima nipigie muswaki outside ili nisafishe macho!!