uu wa wilaya ya Liwale amefariki usiku wa kuamkia leo, ktk hoteli aliyofikia
akijiandaa kuhudhuria mkutano wa magonjwa yasiyopewa kipaumbele.Source radio One na ITV
Amefariki baada ya kukutwa amekufa?... amefariki dunia baada ya kukutwa amekufa kwenye nyumba ya wageni....
Amefariki baada ya kukutwa amekufa?
Wanabodi,
Hii nimetumiwa kwa SMS kutoa mkoa, fulani, kuwa kuna mkuu wa wilaya fulani, kafia Gest House fulani Vision iliyopo mkoa fulani. Hivi ninavyo post sasa, RC wa mkoa huo, akiandamama na RPC, RCO, OCD, na DCO NA kikundi cha askari na makachero, wameizunguka hoteli hiyo ili kuvunja mlango kuthibitisha tukio hilo!.
Jina la Mkoa, na Mkuu wa wilaya hiyo nimelihifadhi ili kusubiri uthibitisho.
Lengo la kuposti mapema ni kuhakikisha wewe kama mwana jf, "be the first to know".
Pasco.
alikuwa anasukuma ngozi au ni nini mkuu??manake magamba wao wanawaza uasherati basi!
Habari zilizothibitshwa na Radio one break news Mkuu wa wilaya ya Newala Paul amefariki dunia baada ya kukutwa amekufa kwenye nyumba ya wageni ya mission iliopo lindi alipokwenda kwenye semina.