.....chama gani, cha kufia guest au chama cha magam.ba?Sasa kwani kufia Guest House ni ishu? Kama alikuwa ugenini angelala wapi? Ninyi ndio mnachafua chama chetu
Rip dc liwale,poleni ndugu na sisiemu.
kwani DC ni post ya chama au ya kiserikali???
Habari zilizothibitshwa na Radio one break news Mkuu wa wilaya ya Newala Paul amefariki dunia baada ya kukutwa amekufa kwenye nyumba ya wageni ya mission iliopo lindi alipokwenda kwenye semina.
Wanabodi,
Mkuu wa wilaya ya Liwale, Paul Chiwile amefariki usiku wa kuamkia leo katika nyumba ya kulala wageni ya Vission aliyofikia mjini Lindi.
Mkuu huyo wa wilaya alikuwa Lindi kuhudhuria mkutano uliokuwa unatarajiwa kuanza leo wa utekelezaji wa mpango wa kitaifa wa magonjwa yasiyokuwa na kipaumbele.
Kwa mujibu wa Radio One mwili wa marehemu upo katika hospitali ya mkoa ya Sokoine ukisubiri kufanyiwa uchunguzi.
Imefahamika kwamba atazikwa kwao Kibaha.
RIP DC Paul Chiwile!.
Kuna mshkaj wangu yuko eneo la tukio anasema polisi wanajiandaa kuvunja mlango wa hiyo lodge then akafanyiwe post mortem. Tutapata majibu leo leo (kama yatakuwa ya kweli) maana nchi hii nayo.
Mawazo yako wakati wote ni siasa na ngono tu!
Vijana mnaelekea wapi?
alikuwa anasukuma ngozi au ni nini mkuu??manake magamba wao wanawaza uasherati basi!
hahaaaa ....pumzika mkuu wangu wa wilaya ya liwale..unachezee viuno vya wana Lindi....pigwa mapangaboi ya kufa mtu mpaka mzee wetu anapata cardiac arrest kama ya Muamba...