Sio mkuu wa wilaya tu,hata Mtendaji wa kata ana uwezo wa kumuweka mtu ndani..
lakini si kwa mazingira kama ya hao maofisa wa ardhi..
Kwa hali hii mbona mahabusu zingejaa..
Sio nchi ya kidikteta hii
acha tu zijae wengine watawekwa hata kambi za jeshi.