Mkuu wa shule aliyeshindikana Tanga jiji,Jafo njoo umng'oe

Mkumbwa Jr

JF-Expert Member
Mar 23, 2016
2,385
3,183
Habari wanajukwaa,poleni na majukumu ya siku ya leo

Yupo mkuu wa shule ya sekondari Maweni iliyopo Tanga jiji ambaye amelalamikiwa na walimu kwa muda mrefu lakini Afisa elimu sekondari amekua akimgwaya/akimuogopa mkuu huyo wa shule.

Ninasema anamuogopa kwasababu yupo mkuu mwingine wa shule ya sekondari Kihere alishashushwa cheo kwa tuhuma za ubadhirifu.

Katika tukio jingine,Mkuu huyo wa shule ya sekondari Maweni anatuhumiwa KUTUMIA VIBAYA fedha za ujenzi ambazo zilitoka TAMISEMI kwa lengo la kujenga madarasa.Matumizi yamekua mabaya kiasi kwamba hata hela ya kumlipa fundi haipo. Pia hata samani zilizokwisha lipiwa kwa mzabuni hazijafika shuleni hapo hadi sasa kwa zaidi ya miezi miwili

Fundi huyo amelalamika kwa Afisa elimu huyo imeshindikana kupatiwa ufumbuzi kwa muda wa zaidi ya wiki tatu sasa.

Hata hivyo fundi huyo ameenda TAKUKURU kutokana na matukio yanayoashiria rushwa katika malipo yake hayo. Pamoja na hayo, mkuu huyo wa shule hajawajibishwa na mamlaka iliyomteua

Afisa elimu huyo alishafika shuleni hapo wiki iliyopita akiwa na Afisa utumishi,injinia wa jiji,mkaguzi wa ndani,mwanasheria wa jiji lakini kilichotokea ni jambo la ajabu kwani Afisa elimu ameishia kuwaambia walimu kwamba hawatapata fursa kwani wameonekana kuwa hawamtaki mkuu wa shule

Inasikitisha pale ambapo mtu anafanya ubadhirifu usiokua na kificho halafu haguswi wakati wapo wenzake waliofanya hivyo wameshawajibishwa

Kero hizo za mkuu wa shule pia zilishajadiliwa na Afisa elimu taaluma mkoa wa Tanga wiki iliyopita lakini malalamiko hayo hayajafanyiwa kazi bado

Walimu hao wanaomba itumwe tume huru kutoka TAMISEMI ije ione maajabu ya mkuu wa shule ambaye anafanya UBADHIRIFU MKUBWA katikati ya jiji bila kuogopa na hashikiki na mkurugenzi,Afisa elimu jiji na Afisa elimu mkoa.

Pia Walimu wamedai kuchoshwa na uonevu,ubabe na matusi ya mkuu huyo wa shule ambapo walishamfikishia Afisa elimu sekondari jiji tangu mwaka jana

Suleiman Jaffo,njoo upambane na mwanamke huyu maana wakuu wa idara Tanga jiji hawana misuli inayoweza kumng'oa pale alipo.

Pia ukiweza kumuwajibisha Afisa elimu bwana Gwakisa itakua funzo kwa wakuu wengine wa idara wenye upendeleo

Taarifa zaidi zitakuja kupitia uzi huu
 
Yani ulivyoandika tu unaonesha una chuki zako. Yani unasema muda mrefu alafu unaeleza wiki tatu. Na kuto kumlipa fundi ndiyo ubadhirifu?

Serikali yenyewe imewapa watu kazi haijawalipa, wanaidai so nayo ni badhirifu?
 
Wewe mleta Uzi jinga sana wewe huyo Fundi wako hajui kuwa mifumo ya fedha ilikuwa imefungwa?

Acha unoko na wivu ungekuwa na elimu tungekuachia hicho kiti lakini huna nakushauri nenda Moro ukalime majeruba
 
mmekaa kichuki chuki tu Tanzania bara saivi. kwanini usitoe maoni yako tu juu ya kero zilizopo? haitoshi mpaka unataka watu wang'olewa vyeo vyao kisa tetesi zako? sio rahisi kihivyo ndugu.. hatuttetei rushwa ama matumizi mabaya ya rasilimali, tunapenda taratibu zifuatwe. sio fukuza fukuza tu kisa umemuhisi mtu
 
Habari wanajukwaa,poleni na majukumu ya siku ya leo

Yupo mkuu wa shule ya sekondari Maweni iliyopo Tanga jiji ambaye amelalamikiwa na walimu kwa muda mrefu lakini Afisa elimu sekondari amekua akimgwaya/akimuogopa mkuu huyo wa shule.

Ninasema anamuogopa kwasababu yupo mkuu mwingine wa shule ya sekondari Kihere alishashushwa cheo kwa tuhuma za ubadhirifu.

Mkuu huyo wa shule ya sekondari Maweni anatuhumiwa KUTUMIA VIBAYA fedha za ujenzi ambazo zilitoka TAMISEMI kwa lengo la kujenga madarasa.Matumizi yamekua mabaya kiasi kwamba hata hela ya kumlipa fundi haipo.

Fundi huyo amelalamika kwa Afisa elimu huyo imeshindikana kupatiwa ufumbuzi kwa muda wa zaidi ya wiki tatu sasa.

Hata hivyo fundi huyo ameenda TAKUKURU kutokana na matukio yanayoashiria rushwa katika malipo yake hayo. Pamoja na hayo, mkuu huyo wa shule hajawajibishwa na mamlaka iliyomteua

Afisa elimu huyo alishafika shuleni hapo wiki iliyopita akiwa na Afisa utumishi,injinia wa jiji,mkaguzi wa ndani,mwanasheria wa jiji lakini kilichotokea ni jambo la ajabu kwani Afisa elimu ameishia kuwaambia walimu kwamba hawatapata fursa kwani wameonekana kuwa hawamtaki mkuu wa shule

Inasikitisha pale ambapo mtu anafanya ubadhirifu usiokua na kificho halafu haguswi wakati wapo wenzake waliofanya hivyo wamesha shushwa vyeo

Kero hizo za mkuu wa shule pia zilishajadiliwa na Afisa elimu taaluma mkoa wa Tanga wiki iliyopita lakini malalamiko hayo hayajafanyiwa kazi bado

Walimu hao wanaomba itumwe tume huru kutoka TAMISEMI ije ione maajabu ya mkuu wa shule ambaye anafanya UBADHIRIFU MKUBWA katikati ya jiji bila kuogopa na hashikiki na mkurugenzi,Afisa elimu jiji na Afisa elimu mkoa.

Ubadhirifu wake na mambo mengine yakiutendaji yataendelea kuwekwa hapa kadri yanavyopatikana. Walimu wamedai kuchoshwa na uonevu,ubabe na matusi ya mkuu huyo wa shule

Suleiman Jaffo,njoo upambane na mwanamke huyu maana wakuu wa idara Tanga jiji hawana misuli inayoweza kumng'oa pale alipo.

Pia ukiweza kumuondoa Afisa elimu bwana Gwakisa itakua funzo kwa wakuu wengine wa idara wenye upendeleo

Taarifa zaidi zitakuja kupitia uzi huu
Walimu huwa hawaendelei kwasababu hizi,
Umaskini unawapa roho mbaya na chuki.
Pambana na matatizo wewe!!!!
 
Habari wanajukwaa,poleni na majukumu ya siku ya leo

Yupo mkuu wa shule ya sekondari Maweni iliyopo Tanga jiji ambaye amelalamikiwa na walimu kwa muda mrefu lakini Afisa elimu sekondari amekua akimgwaya/akimuogopa mkuu huyo wa shule.

Ninasema anamuogopa kwasababu yupo mkuu mwingine wa shule ya sekondari Kihere alishashushwa cheo kwa tuhuma za ubadhirifu.

Mkuu huyo wa shule ya sekondari Maweni anatuhumiwa KUTUMIA VIBAYA fedha za ujenzi ambazo zilitoka TAMISEMI kwa lengo la kujenga madarasa.Matumizi yamekua mabaya kiasi kwamba hata hela ya kumlipa fundi haipo.

Fundi huyo amelalamika kwa Afisa elimu huyo imeshindikana kupatiwa ufumbuzi kwa muda wa zaidi ya wiki tatu sasa.

Hata hivyo fundi huyo ameenda TAKUKURU kutokana na matukio yanayoashiria rushwa katika malipo yake hayo. Pamoja na hayo, mkuu huyo wa shule hajawajibishwa na mamlaka iliyomteua

Afisa elimu huyo alishafika shuleni hapo wiki iliyopita akiwa na Afisa utumishi,injinia wa jiji,mkaguzi wa ndani,mwanasheria wa jiji lakini kilichotokea ni jambo la ajabu kwani Afisa elimu ameishia kuwaambia walimu kwamba hawatapata fursa kwani wameonekana kuwa hawamtaki mkuu wa shule

Inasikitisha pale ambapo mtu anafanya ubadhirifu usiokua na kificho halafu haguswi wakati wapo wenzake waliofanya hivyo wamesha shushwa vyeo

Kero hizo za mkuu wa shule pia zilishajadiliwa na Afisa elimu taaluma mkoa wa Tanga wiki iliyopita lakini malalamiko hayo hayajafanyiwa kazi bado

Walimu hao wanaomba itumwe tume huru kutoka TAMISEMI ije ione maajabu ya mkuu wa shule ambaye anafanya UBADHIRIFU MKUBWA katikati ya jiji bila kuogopa na hashikiki na mkurugenzi,Afisa elimu jiji na Afisa elimu mkoa.

Ubadhirifu wake na mambo mengine yakiutendaji yataendelea kuwekwa hapa kadri yanavyopatikana. Walimu wamedai kuchoshwa na uonevu,ubabe na matusi ya mkuu huyo wa shule

Suleiman Jaffo,njoo upambane na mwanamke huyu maana wakuu wa idara Tanga jiji hawana misuli inayoweza kumng'oa pale alipo.

Pia ukiweza kumuondoa Afisa elimu bwana Gwakisa itakua funzo kwa wakuu wengine wa idara wenye upendeleo

Taarifa zaidi zitakuja kupitia uzi huu
Unatoa tuhumu kabla ya kufanyika uchunguzi, wewe tayari una majibu yako mfukoni , huu ndio tunaita wivu
 
kumbuka ujenzi wa madarasa lazima shule itakua ina makadilio ya bei (BOQ) pamoja na uwepo wa kamati za kusimamia ujenzi, kabla ya malipo kufanyika kamati husika inakaa vikao na kupitisha malipo hayo kisha malipo yanapitiwa na mhandisi wa halmashauri ndipo manunuzi au malipo mengine ya kazi yanatoka!! Ukishajua mfumo wa ujenzi katika ngazi ya shule unavyofanya kazi unaweza kuboresha uzi wako!!
 
Wewe mleta Uzi jinga sana wewe huyo Fundi wako hajui kuwa mifumo ya fedha ilikuwa imefungwa?

Acha unoko na wivu ungekuwa na elimu tungekuachia hicho kiti lakini huna nakushauri nenda Moro ukalime majeruba
Utaratibu unaotumika kwa malipo unaitwa force account ambapo fundi hulipwa kwa kila hatua,account haina hela na fundi hajalipwa.

Kwa uzi huu ninaamini wahusika watatenda haki na matokeo yatajulikana

Hakuna chuki yoyote,yaliyosemwa ni uhalisia
 
Habari wanajukwaa,poleni na majukumu ya siku ya leo

Yupo mkuu wa shule ya sekondari Maweni iliyopo Tanga jiji ambaye amelalamikiwa na walimu kwa muda mrefu lakini Afisa elimu sekondari amekua akimgwaya/akimuogopa mkuu huyo wa shule.

Ninasema anamuogopa kwasababu yupo mkuu mwingine wa shule ya sekondari Kihere alishashushwa cheo kwa tuhuma za ubadhirifu.

Mkuu huyo wa shule ya sekondari Maweni anatuhumiwa KUTUMIA VIBAYA fedha za ujenzi ambazo zilitoka TAMISEMI kwa lengo la kujenga madarasa.Matumizi yamekua mabaya kiasi kwamba hata hela ya kumlipa fundi haipo.

Fundi huyo amelalamika kwa Afisa elimu huyo imeshindikana kupatiwa ufumbuzi kwa muda wa zaidi ya wiki tatu sasa.

Hata hivyo fundi huyo ameenda TAKUKURU kutokana na matukio yanayoashiria rushwa katika malipo yake hayo. Pamoja na hayo, mkuu huyo wa shule hajawajibishwa na mamlaka iliyomteua

Afisa elimu huyo alishafika shuleni hapo wiki iliyopita akiwa na Afisa utumishi,injinia wa jiji,mkaguzi wa ndani,mwanasheria wa jiji lakini kilichotokea ni jambo la ajabu kwani Afisa elimu ameishia kuwaambia walimu kwamba hawatapata fursa kwani wameonekana kuwa hawamtaki mkuu wa shule

Inasikitisha pale ambapo mtu anafanya ubadhirifu usiokua na kificho halafu haguswi wakati wapo wenzake waliofanya hivyo wamesha shushwa vyeo

Kero hizo za mkuu wa shule pia zilishajadiliwa na Afisa elimu taaluma mkoa wa Tanga wiki iliyopita lakini malalamiko hayo hayajafanyiwa kazi bado

Walimu hao wanaomba itumwe tume huru kutoka TAMISEMI ije ione maajabu ya mkuu wa shule ambaye anafanya UBADHIRIFU MKUBWA katikati ya jiji bila kuogopa na hashikiki na mkurugenzi,Afisa elimu jiji na Afisa elimu mkoa.

Ubadhirifu wake na mambo mengine yakiutendaji yataendelea kuwekwa hapa kadri yanavyopatikana. Walimu wamedai kuchoshwa na uonevu,ubabe na matusi ya mkuu huyo wa shule

Suleiman Jaffo,njoo upambane na mwanamke huyu maana wakuu wa idara Tanga jiji hawana misuli inayoweza kumng'oa pale alipo.

Pia ukiweza kumuondoa Afisa elimu bwana Gwakisa itakua funzo kwa wakuu wengine wa idara wenye upendeleo

Taarifa zaidi zitakuja kupitia uzi huu
Tanga bwana!
Mji wa majungu na fitna kibao.
Hivi bado mnaendeleaga kuweka vifuu vya nazi na vyungu vilivyovunjika kule Mwembemawazo njia panda?
 
Unasema wakubwa wake walikuja hapo wiki iliyopita, unataka wamtoe leo leo?

Kama watu wamelalamika na viongozi wamekuja kusikiliza, vuta subra wataleta majibu juu ya huyo mama.
 
Unasema wakubwa wake walikuja hapo wiki iliyopita, unataka wamtoe leo leo?

Kama watu wamelalamika na viongozi wamekuja kusikiliza, vuta subra wataleta majibu juu ya huyo mama.
Nimekuelewa mkuu,ww ni mdau unayeweza kuyasoma mawazo ya mtu na kuyafanyia kazi. Tofauti na baadhi ya watu ambao wameamua kutumia lugha kali kanakwamba wanajua undani wa tukio lenyewe kumbe hawajui

Hao sitawajibu maana wanaonekana wanajazba sana
Hongera sana mkuu endelea kujawa na busara
 
Hebu ngoja kwanza! Mkuu wa shule taarifa zake tunazo...tushapata malalamiko kwamba ana mahusiano na nanihii na ndio maana haguswi..! Just calm down..! Jamaa wanapita humu..kiufupi tu niseme..NOTED!
 
Kumbe kazi imefanyika lakini Fundi hajalipwa sasa mbona hakuna abadhirifu hapo Fundi wangu tulia pesa yako italipwa.
 
Andikeni malalamiko yenu kimaandishi kwa mkuu wa wilaya, copy kwenda ofisi ya tiss wilaya tatizo lenu litafanyiwa uchunguzi mara moja
 
Mleta mada unatoka mbeya sehemu gani?

Kwa ufupi inaonesha una Chuki zaidi na mkuu huyo Kuliko ulivyo na Ushahidi wa tuhuma zako. Kama vielelezo vipo ilikuwaje kila afisa anayefika hapo anaondoka kwa kuona mna tuhuma za kipuuzi?
Naona una lako jambo na huyo Mama.
 
Back
Top Bottom