Wanaegesha wakijua kuna siku watashauri iuzwe na wao watanunua.Hivi kwanini hizi taasisi za serikali kama shule, zahanati, vituo vya polisi;havijengwi kwa ramani moja kama zamani?
Kwasababu zamani ukiona tu majengo unajua hii ni shule. Lakini leo hii wengine wanajenga kama vile ni nyumba za wageni au hotel! Sijapenda!
Wamenunua na luku ya miaka mi5kwa hiyo umeme wa mil 14