Mkuu wa mkoa wa Arusha amwagiwa maji stand ya mabasi ya Arusha mjini

Status
Not open for further replies.
Mkuu wa mkoa wa Arusha ameendelea kukutana na misuko suko jijini humo, baada ya leo kumwagiwa maji akiwa maeneo ya standa ya mji huwo, alijikuta akizomewa na kuaambiwa hapa ni Arusha.

Kilewo unaweza kueleza alikwenda kufanya nini stand hadi alipokutana na dhahma hiyo?
 
Anastahili!
Wenye akili zetu tuliona spidi zake huyu Bwamdogo toka alipowasili!
Alishindwa kuchanganya na zake, akajua atamfurahisha kirahisi sana mwajiri wake...kumbe wapi bana!
woinde+112.jpg
 
habari za ki udaku udaku hizi,, hazina hata source....Acheni kutumia mimea korofi kama bange na mirungi
 
we mwanamke muuaji sana! Kumbuka yule ni binaddamu, na anafanya kazi yake!
KAZI YAKE ALIYOTUMWA NI KUFANYA SIASA ZA MAJI TAKA?? Tena ikiwezekana wachanganye tindikali na upupu wammwagie ndo atashika adabu, ALAFU WE REJAO WEWE OLE WAKO SIKU TUKUTANE ANA KWA ANA
 
juzi alitupiwa nyanya na karote hapo apo sokoni...na leo karudi tena hapo hapo??!! na leo alitaka kuongea na kina mama?
 
KAZI YAKE ALIYOTUMWA NI KUFANYA SIASA ZA MAJI TAKA?? Tena ikiwezekana wachanganye tindikali na upupu wammwagie ndo atashika adabu, ALAFU WE REJAO WEWE OLE WAKO SIKU TUKUTANE ANA KWA ANA
Hata wewe unachofanya hapo ni kutekeleza matakwa ya mwajiri wako! Naye ndio anachokifanya. Bythen, flora yupo wapi?
 
kazi yake aliyotumwa ni kufanya siasa za maji taka?? Tena ikiwezekana wachanganye tindikali na upupu wammwagie ndo atashika adabu, alafu we rejao wewe ole wako siku tukutane ana kwa ana

nackitka watznia mnashabikia vsac na vurugu! Hata kama govern mnahic haiwatendei kile mnachoitakidi kuwa ni haki, je, ndio 7bu ya nyie kulipiza uovu dhidi ya watendaji wake? Ikawa mnapongezana na kushabikia kuwadhuru ndg zenu? Tz tunayoipigania ndio hiyo ya vsac na vjembe?
 
Kila kitu source basi source ni masaburi yako au gazeti la uhuru....

Mkuu,kuna thread zingine unajikuta unahitaji kujiridhisha na source ama more supporting explanations, kamwagiwa vp maji?alikuwa anafanya nn stand?ni kikundi cha watu/mtu?motive walisema ni nn? au ni gari imekanyaga maji yakamrukia?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom