Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Mkuu wa mkoa wa Arusha ameendelea kukutana na misuko suko jijini humo, baada ya leo kumwagiwa maji akiwa maeneo ya standa ya mji huwo, alijikuta akizomewa na kuaambiwa hapa ni Arusha.
Atatuma polisi hapo waambie wakae macho,na hizo biashara zao hapo watanyanyaswa sana,wajiandae.Mkuu wa mkoa wa Arusha ameendelea kukutana na misuko suko jijini humo, baada ya leo kumwagiwa maji akiwa maeneo ya standa ya mji huwo, alijikuta akizomewa na kuaambiwa hapa ni Arusha.
well said ,ila nguvu ya dola haiwezi kushinda dhamira .Atatuma polisi hapo waambie wakae macho,na hizo biashara zao hapo watanyanyaswa sana,wajiandae.
well said ,ila nguvu ya dola haiwezi kushinda dhamira .
Reason plz, or tz supposed to be a revenge..am missing Arusha, naja wiki ijayo.
Mkuu wa mkoa wa Arusha ameendelea kukutana na misuko suko jijini humo, baada ya leo kumwagiwa maji akiwa maeneo ya standa ya mji huwo, alijikuta akizomewa na kuaambiwa hapa ni Arusha.
Mkuu wa mkoa wa Arusha ameendelea kukutana na misuko suko jijini humo, baada ya leo kumwagiwa maji akiwa maeneo ya standa ya mji huwo, alijikuta akizomewa na kuaambiwa hapa ni Arusha.