Kweli mti wenye matunda ndio upigwao mawe.wewe hujui kuwa lowasa ndiye aliyemuua Dr mvungi,usione watu tuko kimya tumemnyamazia tu mkuu?
Msiwe wepesi kusema jamani.
Baada ya ccm kusema waalimu hawaaminiki na hivyo wasihusike kusimamia uchaguzi ccm walipendekeza zoezi hili la usimamizi lifanywe na vijana wa JKT lakini Cdf mwamunyange alikataa na kusema swala la kiraia jeshi haliwezi kuhusika.
Baada ya hapo serikali imeamuru wakurugenzi na Nec kutangaza kwa kila mtu aweze kuomba nafasi hiyo kwa kuandika barua na kuambatanisha CV.na imefanyika hivyo lakini lengo ni serikali kutumia askari na ndo maana ktk kundi la waalimu chunguza wamechukuliwa wachache na wako kwenye semina za wasimamizi wakuu tayari wana wiki ya pili na ukiangalia miongoni mwao ni askali polic,jkT;magereza na Jw.....z.
So msiichukulie simple hiyo taarifa.
Msiwe wepesi kusema jamani.
Baada ya ccm kusema waalimu hawaaminiki na hivyo wasihusike kusimamia uchaguzi ccm walipendekeza zoezi hili la usimamizi lifanywe na vijana wa JKT lakini Cdf mwamunyange alikataa na kusema swala la kiraia jeshi haliwezi kuhusika.
Baada ya hapo serikali imeamuru wakurugenzi na Nec kutangaza kwa kila mtu aweze kuomba nafasi hiyo kwa kuandika barua na kuambatanisha CV.na imefanyika hivyo lakini lengo ni serikali kutumia askari na ndo maana ktk kundi la waalimu chunguza wamechukuliwa wachache na wako kwenye semina za wasimamizi wakuu tayari wana wiki ya pili na ukiangalia miongoni mwao ni askali polic,jkT;magereza na Jw.....z.
So msiichukulie simple hiyo taarifa.
Kwani hii mara kwanza kukoswa koswa....
Wiki takriban tatu zilizopita nilipenyezewa ujumbe muhimu kuwa mkuu as majeshi General Davis Mwamunyange alitakiwa kustaafu wadhifa wake huo ndani ya jeshi.
Baada ya siku kadhaa nilipenyezewa uvumi mwingine kuwa Mwamunyange amekuwa 'mkimya' ghafla.
Habari zaidi zinasema kuwa General Davis Mwamunyange hayupo nchini kwa sasa!
Jana gazeti la serikali la HABARI LEO liliripoti kuwa General Davis Mwamunyange amesema kuwa wanaomzushia waombewe kwa Mungu. Ni upi hasa ukweli juu ya hilo? Maana lisemwalo linaweza kuwepo!
N. B Nimeona siyo busara sana kufunguka mengi niliyoyasikia kutokana na hili kwasababu
ya kukosa uthibitisho wa dhahiri hasa kutokana na unyeti wa chombo hicho muhimu nchini!