Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,755
- 218,370
Taarifa ya vyombo vya usalama inasema kwamba , Mkutano batili wa NCCR MAGEUZI ulioandaliwa na Joseph Selasini katika Hotel ya St Gasper Mkoani Dodoma umepigwa Marufuku .
Hazikutolewa Taarifa zaidi , Bali kinachofahamika ni kwamba Mahakama ilishamzuia Ndugu Joseph Selasini kujihusisha na Mambo ya Chama hicho .
Hazikutolewa Taarifa zaidi , Bali kinachofahamika ni kwamba Mahakama ilishamzuia Ndugu Joseph Selasini kujihusisha na Mambo ya Chama hicho .