Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Katika kudhihirisha kuwa wananchi wa kusini wameichukia CCM kesho wakazi wa iringa mjini na viunga vyake wamedhamiria kuungana na kuhudhuria katika mkutano wa ccm utakaofanywa na NAPE wakiwa wameshika vichwa huku wakilia mkutanoni kama ishara ya kuichoka ccm pamoja na maisha magumu
Hili lilianza jana kama tetesi mitaani lakini likajithibitisha leo baada ya kamanda ALLY BANA kuliibua kwenye mkutano wao leo pale KIHESA chini ya kamanda KABWE NA MILLYA na wananchi kukubali kwa pamoja kitu ambacho nimeshindwa kujua ni kwa kiasi gani hawa makamanda wana intelligencia ya kufahamu nini kinaendelea mitaani hasa kwa wanachi wa kawaida
MY TAKE
Nape kesho jiandae tena ujipange kwani yawezekana ukazomewa na hata kutolewa mbio kama mwizi kwani sio siri tena wananchi wamewachoka magamba na sio vijana tu, hata wazee na wanawake
CCM poleni sana
Hili lilianza jana kama tetesi mitaani lakini likajithibitisha leo baada ya kamanda ALLY BANA kuliibua kwenye mkutano wao leo pale KIHESA chini ya kamanda KABWE NA MILLYA na wananchi kukubali kwa pamoja kitu ambacho nimeshindwa kujua ni kwa kiasi gani hawa makamanda wana intelligencia ya kufahamu nini kinaendelea mitaani hasa kwa wanachi wa kawaida
MY TAKE
Nape kesho jiandae tena ujipange kwani yawezekana ukazomewa na hata kutolewa mbio kama mwizi kwani sio siri tena wananchi wamewachoka magamba na sio vijana tu, hata wazee na wanawake
CCM poleni sana