NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Anabadilikabadilika kulingana na mazingira.Huyu Mkapa juzi ameingia Mahakamani Tanzania akiwa mkakamavu vila fimbo, inamaana alikatazwa na mahakama siingie na fimbo asije akampiga hakimu? Huko Afrika kusini anaonekana mchofu kulika alivyoonekana majuzi mahakamani.