Ojuolegbha
JF-Expert Member
- Sep 6, 2020
- 761
- 488
Mkutano wa Hadhara wa CCM, Wadi ya Magomeni. Tarehe 26 Oktoba, 2023. Uwanja wa Mzalendo.
Tena wote wana sare
UngujaMagomeni ya Dar es salaam au ya Kilosa au ya Mtwara
Hatarious
Itakuwa ya Kilosa.Magomeni ya Dar es salaam au ya Kilosa au ya Mtwara
Wananchi wako wapi?Mkutano wa Hadhara wa CCM, Wadi ya Magomeni. Tarehe 26 Oktoba, 2023. Uwanja wa Mzalendo.
View attachment 2794585View attachment 2794586View attachment 2794587View attachment 2794589View attachment 2794590View attachment 2794591View attachment 2794592View attachment 2794593View attachment 2794595View attachment 2794596View attachment 2794597View attachment 2794598View attachment 2794599View attachment 2794600
Hahaaaa watu mna dharau...Magomeni ya Dar es salaam au ya Kilosa au ya Mtwara
Wanaganyia ndani ya ukumbi gani? Watakuwa wameweka sikirini kubwa sana na projecta ya thieta.Mkutano wa Hadhara wa CCM, Wadi ya Magomeni. Tarehe 26 Oktoba, 2023. Uwanja wa Mzalendo.
View attachment 2794585View attachment 2794586View attachment 2794587View attachment 2794589View attachment 2794590View attachment 2794591View attachment 2794592View attachment 2794593View attachment 2794595View attachment 2794596View attachment 2794597View attachment 2794598View attachment 2794599View attachment 2794600
Watu watajua Nyerere amerudi tena duniani.CCM wamevizidi vyama vya upinzani kwenye ubora wa graphics na media ila kwa hoja Wapinzani wamewazidi CCM
Watazamaji hawakai kwenye sikirini wanakaa kwenye viti nyuma ya projekta.Wananchi wako wapi?