Nape ana macho ya kondoo,!!!!! Eti upinzani unakufa kama kweli anaona aseme sasa ameona hizo pichaaaaa!!!???
Hawa wote wakiandikishwa kwenye BRV na kuweza kupiga kura itakuwa vyema
bahati mbaya hakuna mpiga kura hapo, wote vibaka na wahuni
hao wahuni nani awaandikishe?
Ni ajabu sana,kuwaita binadamu wenzako wahuni na vibaka huku ukijua sio kweli,eti kwakuwa tu wametofautiana na wewe kiitikadi,kifikra ama kimtazamo.bahati mbaya hakuna mpiga kura hapo, wote vibaka na wahuni
Ninachofaam nape kichwa chake ni kibovu.
bahati mbaya hakuna mpiga kura hapo, wote vibaka na wahuni
hao wahuni nani awaandikishe?
bahati mbaya hakuna mpiga kura hapo, wote vibaka na wahuni
Hawa wote wakiandikishwa kwenye BRV na kuweza kupiga kura itakuwa vyema
teh teh, umeamua kuwaita wasukuma vibaka na wahuni. Duh..ndo ccm ilipofikia!bahati mbaya hakuna mpiga kura hapo, wote vibaka na wahuni