Nswima John Edward
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 612
- 312
Wakuu, habari ambazo zimetangazwa jana usiku, ni kuwa leo majira ya kuanzia saa tisa alasiri, kutakuwa na mkutano mkubwa wa CHADEMA hapa Mpanda, najitahidi kufika eneo la tukio ili niweze kuwapa up dates za kutosha kwa kadri nitakavyo weza, bila kusahau picha za matukio yote ya muhimu!!!1
Nswima John Edward
Mpanda - Katavi.
Up dates....
Kuna tetesi kuwa mkutano unaweza kuahirishwa hadi kesho kwani makamanda bado wana vikao vya ndani hadi sasa! All in all nitawajuza kwa ambacho kitakuwa kinaendelea!!
Up dates....
Watu wanazidi kuongezeka katika viwanja hivi pamoja na kuwa kuna tetesi za kuahirishwa mkutano....nitawainform all that will happen!!
Up dates....
Nipo viwanja vya Kashaulili hapa katikati ya mji wa Mpanda, watu wanazidi kuongezeka japokuwa kuna tetesi kuwa kuna uwezekano wa mkutano wa hadhara kuahirishwa kutokana na vikao vya ndani vya chama kuwa virefu, kama mtakumbuka, kulikuwa na mgogoro ambao ulikuwa unafukuta hasa ule uliopelekea Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa ambaye pia ni Mbunge wa Mpanda Mjini kutupa KADI YA CHADEMA wakati wa vikao vya kukabidhiana mikoa ya Katavi na Rukwa kichama. Nahisi hilo linaweza kuwa mjadala mkubwa katika vikao vya chama, lakini bado nipo viwanjani hapa na muda si mrefu nitasafiri kidogo kwenda ukumbi wa St. Mary's secondary ambako vikao hivyo vinafanyika ili kubaini ukweli wa mambo haya. Worry out, you will get inform whatever happen!
Up dates......
sehemu ya umati wa watu ambao wanasubiri mkutano wa CHADEMA viwanja vya Kashaulili, Mpanda!
Waungwana mwenye uwezo wa kuzikuza hizi picha anisaidie, mods pls help this!!!
Up Dates.....
Jamani bado hali ni tete! Kikao cha ndani ya chama hakijamalizika, na bado nipo nje ya ukumbi wa kanisa katoliki nasubiri kuingia ndani mara baada ya kikao cha viongozi wa juu kumalizika ili tupate maamuzi ya chama. Mkumbuke kulikuwa na mgogoro uliokuwa unafukuta muda mrefu kidogo, nafikiri leo mwenyekiti wa chama TAIFA, atapata suluhu ya mgogoro huu!
Gari la mwenyekiti wa CHADEMA, TAIFA.
Nswima John Edward
Mpanda - Katavi.
Up dates....
Kuna tetesi kuwa mkutano unaweza kuahirishwa hadi kesho kwani makamanda bado wana vikao vya ndani hadi sasa! All in all nitawajuza kwa ambacho kitakuwa kinaendelea!!
Up dates....
Watu wanazidi kuongezeka katika viwanja hivi pamoja na kuwa kuna tetesi za kuahirishwa mkutano....nitawainform all that will happen!!
Up dates....
Nipo viwanja vya Kashaulili hapa katikati ya mji wa Mpanda, watu wanazidi kuongezeka japokuwa kuna tetesi kuwa kuna uwezekano wa mkutano wa hadhara kuahirishwa kutokana na vikao vya ndani vya chama kuwa virefu, kama mtakumbuka, kulikuwa na mgogoro ambao ulikuwa unafukuta hasa ule uliopelekea Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa ambaye pia ni Mbunge wa Mpanda Mjini kutupa KADI YA CHADEMA wakati wa vikao vya kukabidhiana mikoa ya Katavi na Rukwa kichama. Nahisi hilo linaweza kuwa mjadala mkubwa katika vikao vya chama, lakini bado nipo viwanjani hapa na muda si mrefu nitasafiri kidogo kwenda ukumbi wa St. Mary's secondary ambako vikao hivyo vinafanyika ili kubaini ukweli wa mambo haya. Worry out, you will get inform whatever happen!
Up dates......
sehemu ya umati wa watu ambao wanasubiri mkutano wa CHADEMA viwanja vya Kashaulili, Mpanda!
Waungwana mwenye uwezo wa kuzikuza hizi picha anisaidie, mods pls help this!!!
Up Dates.....
Jamani bado hali ni tete! Kikao cha ndani ya chama hakijamalizika, na bado nipo nje ya ukumbi wa kanisa katoliki nasubiri kuingia ndani mara baada ya kikao cha viongozi wa juu kumalizika ili tupate maamuzi ya chama. Mkumbuke kulikuwa na mgogoro uliokuwa unafukuta muda mrefu kidogo, nafikiri leo mwenyekiti wa chama TAIFA, atapata suluhu ya mgogoro huu!
Gari la mwenyekiti wa CHADEMA, TAIFA.