YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Whoever did that is bad.yaani utakuwa ufisadiKabla ya kuwalaumu wanamuziki tujiulize wamefikaje hapo?
Kulikuwa na vigezo gani kuwachukua hao wasani?
Kama swala ni uafrica kuna wasanii mahususi kwa maswala kama haya, Sasa tujiuluze Why hawakuandaliwa?
Ninadhani kabla ya yote hawa wasanii walipitishwa na waandaaji..