Kakke
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,883
- 1,482
[h=1][/h]Written by Stonetown (Kiongozi) // 11/09/2012 // Habari, Matangazo // 3 Comments
MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR KUKUTANA NA WANANCHI WAISHIO UK
Jumuiya ya ZAWAUK kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania UK, Tunapenda kuwaalika watu wote waishio UK kwenye mkutano wa hadhara siku ya Ijumaa tarehe 14 Sept 2012 kunzia saa kumi na mbili Alasiri. Mgeni rasmi kwenye mkutano huo ni Makamo wa Rais wa Zanzibar , Maalim Seif Shariff Hamad.
Wakati kila jitihada inafanyika kukamilisha mkutano huu sehemu itakayofanyika mkutano huu mtajuulishwa Jioni ya leo Inshaallah.
Hassan
Mwenyekiti
[h=4][/h]
MAKAMO WA KWANZA WA RAIS WA ZANZIBAR KUKUTANA NA WANANCHI WAISHIO UK
Jumuiya ya ZAWAUK kwa kushirikiana na Ubalozi wa Tanzania UK, Tunapenda kuwaalika watu wote waishio UK kwenye mkutano wa hadhara siku ya Ijumaa tarehe 14 Sept 2012 kunzia saa kumi na mbili Alasiri. Mgeni rasmi kwenye mkutano huo ni Makamo wa Rais wa Zanzibar , Maalim Seif Shariff Hamad.
Wakati kila jitihada inafanyika kukamilisha mkutano huu sehemu itakayofanyika mkutano huu mtajuulishwa Jioni ya leo Inshaallah.
Hassan
Mwenyekiti
[h=4][/h]