Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 20,187
- 61,452
- Thread starter
- #21
Kesho tunanafasi kubwa zaidi maana hakuna ufunguzi. Kwa yale ambayo hatujayaongea tuyaongee
Posho January hii pagumu haswa
Wamealika watu waliowaandalia cha kuchangia na account zao zimewekwa kitita danganyeni wajinga.
Mkitaka maoni halisi muwafuate watu level ya mtaani mbona sensa mlikua mnazunguka ?
Hayo ni maoni ya wachache ambao ni "sell outs" tu, na ni rahisi kupika data.
State sponsored decoy to hoodwink the majority will.
Kesho tunaanza mapema. Wenye hamu ya kuchangia wafike mapema. Tunaanza saa tatu. Tufike mapema saa mbii kwaajili ya kazi. Na usisahau kitambulisho.
Mambo ya nauli yatafanyika kesho.
Hizo 4R za Samia ni vitu visivyotekelezeka watu wanataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi ndio itatupa hizo 4RSijaona la maana walichochangia. Kila mtu 4R na wanawake basi. Wajinga kweli.
Wanaotoka Dar si chini ya 750 nje na Dar 1000+ si habaNdipo maana nimeona picha watu wanakanyagana kujiandikisha mlangoni waingie.
Watu wa fursa hao wengine wamo humu wamealikwa na kupewa bahasha zenye kitita ndio wamekuja kupiga PR humu.Kwa kweli kama watu wanapoteza siku nzima kuongea mambo ya kumfurahisha Rais basi Kuna shida.