meddie
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 434
- 125
Siku za hivi karibuni hapa ZNZ kumekuwa na movement ya kuhamisha kwa nguvu wafanyabiashara kutoka ktk maeneo yanayodaiwa hayaruhusiwi kufanyia biashara . Moja ya maeneo mojawapo ni eneo maarufu kwa hapa zenji la Darajani.
Hapa kumekuwepo na upinzani mkali na kwa zaidi ya wiki sasa askali wa jiji wanakuwepo masaa 24 kuzuia wafanyabiashara waliokwisha tolewa wasirudi. Wafanyabiashara wamekimbilia kufungua kesi mahakamani kupinga kuhamishwa eneo hili ni hii imejili baada ya kukosa msaada toka kwa watetezi wao waliowategemea ambao sasa ni sehemu ya serikali! Ktk kile kinachoonekana frustration za kukosa msaada mkurugenzi wa manispaa jana usiku amemwagiwa majimaji yanayosadikika kuwa ni tindikali na hivi leo amekimbizwa muhimbili kwa matibabu.
Swali: Je njia kama hizi zinaweza kutumika kwa hapa bara kudhibitu watu kama rostam, menji n.k badara tu ya kukaa tunasema maneno mengi na kutukana? ....watu tayari wameshateka serikali, mahakama na hata bunge letu!
Hapa kumekuwepo na upinzani mkali na kwa zaidi ya wiki sasa askali wa jiji wanakuwepo masaa 24 kuzuia wafanyabiashara waliokwisha tolewa wasirudi. Wafanyabiashara wamekimbilia kufungua kesi mahakamani kupinga kuhamishwa eneo hili ni hii imejili baada ya kukosa msaada toka kwa watetezi wao waliowategemea ambao sasa ni sehemu ya serikali! Ktk kile kinachoonekana frustration za kukosa msaada mkurugenzi wa manispaa jana usiku amemwagiwa majimaji yanayosadikika kuwa ni tindikali na hivi leo amekimbizwa muhimbili kwa matibabu.
Swali: Je njia kama hizi zinaweza kutumika kwa hapa bara kudhibitu watu kama rostam, menji n.k badara tu ya kukaa tunasema maneno mengi na kutukana? ....watu tayari wameshateka serikali, mahakama na hata bunge letu!