Nimepata taarifa hizo lakini uthibitisho ndo bado unaniwia mgumu. Wengi nikiwapigia simu hazipokelewi!Kuna taarifa kwamba wamiliki wa Kampuni ya Richmond Development LLC, wanafikishwa mahakamani mchana huu, ikiwa ni dakika za mwisho za mahakama. Habari zaidi baada ya kuthibitisha
Nimepata taarifa hizo lakini uthibitisho ndo bado unaniwia mgumu. Wengi nikiwapigia simu hazipokelewi!
Mtanzania, tatizo ni kuwa taarifa nilizo nazo ni kuwa DPP yuko likizo, sasa najaribu kuwasiliana na walio karibu na maeneo ya Kisutu kupata confirmation. Bado hii ni "Tetesi"Halisi na Invisible kuongelea kitu hicho hicho, hapo kuna jambo kubwa linakuja. Huwa nawaheshimu hawa wakuu wa wawili kwa breaking news.
Mtanzania, tatizo ni kuwa taarifa nilizo nazo ni kuwa DPP yuko likizo, sasa najaribu kuwasiliana na walio karibu na maeneo ya Kisutu kupata confirmation. Bado hii ni "Tetesi"
Mtanzania, tatizo ni kuwa taarifa nilizo nazo ni kuwa DPP yuko likizo, sasa najaribu kuwasiliana na walio karibu na maeneo ya Kisutu kupata confirmation. Bado hii ni "Tetesi"
You're damn right mkuuMkuu Invisible, kama DPP yuko likizo si kuna mtu anakaimu, ama kafunga ofisi?.
Oooh,mkuu bado huja confirm kama wamepandishwa kweli kisutu?
mkuu bado huja confirm kama wamepandishwa kweli kisutu?