Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
Kwa hali isiyokuwa ya kawaida jana kuna diwan mmoja wa chadema alikuwa analalamika na kudai anashangaa watu wanapeleka hela nyingi kwenye bajeti za mambo yasiyo namaana wakati vitu muhimu avifanyiwi kazi...akasema utashangaa ofisi ya Mkurugenzi wa kinondoni anapangiwa vinywaji million 8;;bajeti ya magazeti million 5...wapendwa niliomba nikakojoe kwanza ...nimefikiria maximum ya magazeti tulionayo ni 7 * 700 =4900 tzs haya ni yake tufanye na msaidizi wake
4900 *31 = 151,900 *12 =1,822,800 *2 = 3,645,600
jamani hizi pesa zinatokea kwa watanzaniana kodi zao ama kuna kisima cha fedha pale hazina ??
4900 *31 = 151,900 *12 =1,822,800 *2 = 3,645,600
jamani hizi pesa zinatokea kwa watanzaniana kodi zao ama kuna kisima cha fedha pale hazina ??