Mkurugenzi Mbeya: Wafanyabiashara wanatumika tu!

Ukisema hivyo ina maana Madiwani wote wa Halmashauri ya Mbeya mjini pamoja na Mbunge wao ni chokonoko (sijui una maana gani hapo). Kumbuka Mkurugenzi ni mtekelezaji wa maamuzi ya Madiwani.

kaka unakosema yalazima 2jue nchi yetu inaöngozwa kwa wanaosema ndio wameshinda kwa hiyo si kila lipitishwapo jambo basi mbunge karidhia, madiwani wote wameridhia. Daima hoja zinazogusa wananchi walio wengi huwa zinapigwa chini ndani ya bunge, hata halmashauli.
 
CHADEMA unscrupulous politicians are conspiring with bandits to launch violent demonstrations in order to confront the ruling party from implementing its election manifesto. We have recently witnessed a series of manipulated rallies and demonstrations which are deliberately engineered for the purpose of making it difficult for the government to execute its development duties. As a result the government is now unnecessarily forced to relocate its budget funds and commit them to expenses incurred by security forces while dealing with CHADEMA violent protesters which in turn will have a disastrous effect to the country's economy wellbeing. As far as I can see, I still believe that CHADEMA leaders are capable of helping our government to build our country's future and can do better than choreographing needless rallies and demonstrations which are of no help to an average citizen.
naona umetoka english course british council unajaribu kuona kama umepolish kikristu chako..bado, rudi tena.
 
CHADEMA unscrupulous politicians are conspiring with bandits to launch violent demonstrations in order to confront the ruling party from implementing its election manifesto. We have recently witnessed a series of manipulated rallies and demonstrations which are deliberately engineered for the purpose of making it difficult for the government to execute its development duties. As a result the government is now unnecessarily forced to relocate its budget funds and commit them to expenses incurred by security forces while dealing with CHADEMA violent protesters which in turn will have a disastrous effect to the country's economy wellbeing. As far as I can see, I still believe that CHADEMA leaders are capable of helping our government to build our country's future and can do better than choreographing needless rallies and demonstrations which are of no help to an average citizen.
This is a very sensitive matter you have to tell us with a proof that CDM is using bandit vinginevo huu ni uchochezi unaoashiria uvunjifu wa amani, hapo walipo sisiemu chupi zimewabana hawana jinsi ya kuinasua nchi imenasa mambo hayaendi, uchumi umeporomoka wanachi hawana hakika ya kesho cha msingi CCM wajibu hoja na watoe ufumbuzi wa matatizo ya wanachi vinginevo nguvu ya umma itawakumba na wala si jeshi wala vifaru vitakavyo weza kuzima nguvu ya umma ya Mbeya ndo mwanzo.
 
Vurugu hizi source ni meya aliyekaa kuwapangia muda machinga wa kufanya kazi na kutofautiana na madiwani hususani wa CDM
 
kaka unakosema yalazima 2jue nchi yetu inaöngozwa kwa wanaosema ndio wameshinda kwa hiyo si kila lipitishwapo jambo basi mbunge karidhia, madiwani wote wameridhia. Daima hoja zinazogusa wananchi walio wengi huwa zinapigwa chini ndani ya bunge, hata halmashauli.
Sijakuelewa vizuri hapo juu. Nachojua ni kuwa Halmashauri inaundwa na kamati mbalimbali, na maamuzi ya kamati hupelekewa katibu wa kamati ambae ni mkuu wa idara, kabla ya kufikishwa kwa Mkurugenzi ambae ndie mtendaji mkuu wa Halmashauri. Kwa Mbunge yeye ni sehemu ya maamuzi ya kamati hizo kwani ni mjumbe wa mkutano mkuu wa halmashauri ambao Mkurugenzi ni katibu wake huku Meya akiwa ndio mwenyekiti wake. Mkutano mkuu wa halmashauri hukutana kila baada ya miezi kadhaa, na ajenda zake husambazwa kwa wajumbe wake wote akiwamo Mbunge.

Sasa anaposhambuliwa Mkurugenzi pekee, inaondoa maana nzima ya utendaji wa Halmashauri.
 
hiyo nguvu inayokuja wewe na wenzako huko CDM ndo mnairatibu.Utawezaje kusema nguvu inayokuja ni kubwa haitaweza kuzuiliwa kama ww si MRATIBU?.Achen kuwatisha watu kwa machafuko.2015 mbali kwa vurugu hizi hamtafika huko.

Hali ni mbaya sana, ukiongea na hao watu wamechoka. Hizo nguvu tunaziona sababu tupo nao huku mtaani, nyie hamna muda wa kuwasikiliza zaidi ya kuongea nao kupitia virungu vya polisi. Amkeni, acheni siasa, kwani hao siyo wajinga waambiwe kitu na kukifanya bila kutafakari.
Hii ya kuendelea kuwalisha watu maneno matamu wakati wapo kwenye tope la umasikini imepitwa na wakati mkuu. Acheni kusingizia CDM, kwani wahusika wakuu wote hawapo huko.
 
Ukisema hivyo ina maana Madiwani wote wa Halmashauri ya Mbeya mjini pamoja na Mbunge wao ni chokonoko (sijui una maana gani hapo). Kumbuka Mkurugenzi ni mtekelezaji wa maamuzi ya Madiwani.

Nafahamu unataka kulazimisha watu waamini kwamba mkurugenzi anatekeleza maagizo ya baraza la jiji. Na baraza la jiji lina wajumbe madiwani wa Chadema na mbunge wa chadema.
Nitakukumbusha kwamba ni hivi karibuni mbunge na madiwani walitoka nje ya vikao kwa madai kwamba hawasikilizwi na huyo mkurugenzi wa mbeya, sasa hadi hapo unataka ushahidi gani tena?

Nitakukumbusha baraza la manispaa moshi liliamua kutumia mapato yake kuwalipia ada wanafunzi wote waliofaulu sekondari toka familia masikini lakini mkurugenzi akaamua kusimamia kucha kupinga uamuzi wa madiwani kwakuwa ni wa chadema!

Katika hili huwezi kumnasua mkurugenzi na sijaona hoja yoyote ya maana unayotoa zaidi ya zaidi ya propaganda.
 
Mimi nafikiri sisi Wana-CCM na serikali yetu tusikimbie majukumu yetu kwa kutafuta kichaka cha kujifichia kwa kila kitu tunaposhindwa kutatua tunakimbilia kusema CHADEMA, CHADEMA,CHADEMAAAA. CHADEMA wana nini kiasi kwamba tunawapa sifa kubwa kiasi hicho? Mimi nafikiri muda umefika tuwe makini ktk kutatua kero za wananchi ili hao CHADEMA wakose la kuwaambia wananchi. Na hii inawezekana kwani ILANI yetu ya CCM tukiitekeleza hakika hata wananchi watarudisha imani kwetu. Niwaombe tu viongozi wetu wa Chama na Serikali kwamba kama wameshindwa kazi, basi watupe sisi vijana tusiofungamana na kikundi chochote ndani ya Chama ili tupige kazi; kwani uwezo, dira, vision, elimu na hata uzoefu tunao ktk utendaji uliotukuka. Nendeni mkaulize pale......................rekodi yangu. Ebu tuache kuwapa sifa hawa Chadema na badala yake tutimize majukumu yetu. CCM Hoyee!!!!!!!!!!!!!!
 
Katika hili huwezi kumnasua mkurugenzi na sijaona hoja yoyote ya maana unayotoa zaidi ya zaidi ya propaganda.
Sipo hapa kufanya propaganda ya aina yoyote zaidi kuangalia utendaji wa Halmashauri zetu. Kilichotokea huko Mbeya ni mfano mzuri wa kutambua wajibu wa Wanasiasa (Diwani, Meya na Mbunge) katika uwakilishi wao katika vikao vya halmashauri na maamuzi yanayotokana na vikao hivyo.
 
Hao ni wahuni wa Chadema hakuna kutafuna maneno, wafanyabiashara wanatumika tu
 
Sipo hapa kufanya propaganda ya aina yoyote zaidi kuangalia utendaji wa Halmashauri zetu. Kilichotokea huko Mbeya ni mfano mzuri wa kutambua wajibu wa Wanasiasa (Diwani, Meya na Mbunge) katika uwakilishi wao katika vikao vya halmashauri na maamuzi yanayotokana na vikao hivyo.

Kama hufanyi propaganda ni jambo jema lakini ni vizuri ukajishughulisha kujua namna halmashauri zinavyoendeshwa kiuhalisia badala ya kusimamia kwenye utaratibu uliowekwa ambao kwa kiasi kikubwa hawa wateule wa raisi-mkuu wa mkoa na mkurugenzi wanajiona ndo wenye mamlaka na nguvu zaidi ya wawakilishi halali wa wananchi.
 
Polisi waendelee kutoa kipigo kikali na kuwakamata wale wote wanaofanya vurugu.nchi hii hatuwezi kuona inavurugwa na wanasiasa kwa uroho wao wa madaraka.Rais ni KIKWETE CDM wanapaswa kufaham hilo waache kuratibu vurugu hapa nchini za kumuondoa J.K madarakani.

Mkuu na Mbeya nako ni Chadema ? Mbona sijaona husiano ? Watu wamesha amka wanataka haki au na wao ni wachaga maana kila siku wakisimama watu na kudai haki mnasema ni wachaga sasa ni vipi huko?
 
Mimi nafikiri sisi Wana-CCM na serikali yetu tusikimbie majukumu yetu kwa kutafuta kichaka cha kujifichia kwa kila kitu tunaposhindwa kutatua tunakimbilia kusema CHADEMA, CHADEMA,CHADEMAAAA. CHADEMA wana nini kiasi kwamba tunawapa sifa kubwa kiasi hicho? Mimi nafikiri muda umefika tuwe makini ktk kutatua kero za wananchi ili hao CHADEMA wakose la kuwaambia wananchi. Na hii inawezekana kwani ILANI yetu ya CCM tukiitekeleza hakika hata wananchi watarudisha imani kwetu. Niwaombe tu viongozi wetu wa Chama na Serikali kwamba kama wameshindwa kazi, basi watupe sisi vijana tusiofungamana na kikundi chochote ndani ya Chama ili tupige kazi; kwani uwezo, dira, vision, elimu na hata uzoefu tunao ktk utendaji uliotukuka. Nendeni mkaulize pale......................rekodi yangu. Ebu tuache kuwapa sifa hawa Chadema na badala yake tutimize majukumu yetu. CCM Hoyee!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu umesema vyema lakini watakusikia ?Kuna watu elimu na Manyama kwenye shule yai Kayumba wao ni Chadema pekee .
 
Polisi waendelee kutoa kipigo kikali na kuwakamata wale wote wanaofanya vurugu.nchi hii hatuwezi kuona inavurugwa na wanasiasa kwa uroho wao wa madaraka.Rais ni KIKWETE CDM wanapaswa kufaham hilo waache kuratibu vurugu hapa nchini za kumuondoa J.K madarakani.

Yaani watu kupigania haki zao ni makosa? kweli mwenye shibe hamjui mwenye njaa. Huwezi kuwa na taifa ambalo vijana zaidi ya asilimia 60 hawana kazi. Hapo unategemea nini? Hilo ni bomu ambalo linalipuka wakati wowote. Huwezi kumtetea raisi ambaye ni kiguu na njia na anasema hajui sababu ya umasikini wa watu wake.
 
Kibunango nakuunga mkono......Maamuzi ya halmashauri (Madiwani) yanatekekezwa na mkurugenzi.....tuache blah blah

usikurupuke kuandika tu ilimradi umeandika. Sisi tunazungumzia kinachofanyika huko kwenye halmashauri wewe unazungiumzia nadharia.
 
hivi kwa nin kuna shm ya kulike tu status kwanin isingekuwepo na ya kuhate kuna mipost ya watu inakera
 
Hata ulichoandika ukadai kimefanyika kwenye halmashauri sicho,,,Mkurugenzi hana mamlaka ya kufanya yalofanyika bila kibali cha baraza la halmashauri,maamuzi ya wajumbe wengi (madiwani) ndio yatakayotekelezwa na Mkurugenzi,haamui mwenyewe.
 
CHADEMA unscrupulous politicians are conspiring with bandits to launch violent demonstrations in order to confront the ruling party from implementing its election manifesto. We have recently witnessed a series of manipulated rallies and demonstrations which are deliberately engineered for the purpose of making it difficult for the government to execute its development duties. As a result the government is now unnecessarily forced to relocate its budget funds and commit them to expenses incurred by security forces while dealing with CHADEMA violent protesters which in turn will have a disastrous effect to the country's economy wellbeing. As far as I can see, I still believe that CHADEMA leaders are capable of helping our government to build our country's future and can do better than choreographing needless rallies and demonstrations which are of no help to an average citizen.

security forces = Coercive apparatus whose primary function is to protect the interests of the ruling class
violent protesters
= The oppressed who have nothing to loose except their chains
average citizen
= (lower class citizen+ upper class citizen)/2 = middle class citizen= above Tshs. 500,000 net earnings per month.
where;
lower class citizen = machinga and unemployed, mostly the youth whose future is bleak
upper class citizen = High class businessmen and the ruling elite of all sorts

Therefore it is true that the battle between lower class citizens and the upper class citizens doesn't benefit the middle (average) class citizens, mostly the workers and successful middle class entrepreneurs, like me and you.
 
Back
Top Bottom