sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
salamuni ziwafikie wote
jamani nimetoka kuangalia taarifa ya habari ya michezo ITV imeonyesha vodacom wamefanya shuffle dance..moja ya watu waliohojiwa alikuwa ni foreigner wa kizungu
afu chini title yake ikaandikwa Mkurugenzi-JWT
kwa uelewa wangu JWT ni Jeshi la Wananchi wa Tanzania..kama kuna kampuni binafsi siifahamu na niko tayari kukosolewa..imenitatanisha sana,kwani iweje kuna mkurugenzi wa kigeni jeshini kwetu kwani hatuna watanzania wenye sifa za kuwa wakurugenzi jeshini? Au ni waandishi wetu kutokuwa makini na kazi zao?
Nawasilisha
jamani nimetoka kuangalia taarifa ya habari ya michezo ITV imeonyesha vodacom wamefanya shuffle dance..moja ya watu waliohojiwa alikuwa ni foreigner wa kizungu
afu chini title yake ikaandikwa Mkurugenzi-JWT
kwa uelewa wangu JWT ni Jeshi la Wananchi wa Tanzania..kama kuna kampuni binafsi siifahamu na niko tayari kukosolewa..imenitatanisha sana,kwani iweje kuna mkurugenzi wa kigeni jeshini kwetu kwani hatuna watanzania wenye sifa za kuwa wakurugenzi jeshini? Au ni waandishi wetu kutokuwa makini na kazi zao?
Nawasilisha