heka moja linakodiwa kwa bei ghan hukohi,chief wa wanyamwez ni member mpya humu ndani
elfu 50,kwa 60,but heka ya mbuga ni lak mbl,kwa lak mbl na nusu inategemea na maeneoheka moja linakodiwa kwa bei ghan huko
Uko wilaya gani weweelfu 50,kwa 60,but heka ya mbuga ni lak mbl,kwa lak mbl na nusu inategemea na maeneo
Kwanini ya mbuga bei iko juu?elfu 50,kwa 60,but heka ya mbuga ni lak mbl,kwa lak mbl na nusu inategemea na maeneo
Mbuga heka moja makadilio ya juu Watu wanapata Hadi gunia 25-30. Gunia moja lina simamia 90k ivi. 25*90=2250000. Kwaiyo tukija kwenye swali lako, Bei inakua juu kwa sababu mapato nayo yapo juu.Kwanini ya mbiga Iko bei juu?
iko vizur iyo,mahind mwaka huu wataanza kupanda tena msimu ghani?Mbuga heka moja makadilio ya juu Watu wanapata Hadi gunia 25-30. Gunia moja lina simamia 90k ivi. 25*90=2250000. Kwaiyo tukija kwenye swali lako, Bei inakua juu kwa sababu mapato nayo yapo juu.
B4