Kabuche1977
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 564
- 225
Wewe basi utakuwa ni mtambo. kama umeshindwa kuoanisha heading ya thread na maelezo aliyoyaandika jamaa.na basi utakuwa ushasahau na kiswahili chenyewe .rudi nyumbani hata mara moja cio mnazamia tu huko,cheki hata methali ushazisahau.
Huyu jamaa kweli ugaibuni kumesababisha kusahau kuoanisha maneno na kupata maana ya tungo, sasa anasema hii thread inaeleaelea, jamani mbona kila kitu kipo wazi, kamanda please come home at least once a year, usije sahau kabisa kiswahili, make wewe kwa sasa utakuwa na swahili-english.
Kikwete hajakosea sana make anajua watanzania ni wa kuwasukuma tu hata kama they are still standing, mimi nacholaumu sana ni ubinafsi ambao unataka kuitafuna Tanzania na watanzania wote, wanasema msipige kampeni muda bado lakini look what Kikwete is doing, anapiga kampeni still!!!
kweli kaka mkuki kwa nguruwe---------