Sisyphus
JF-Expert Member
- Oct 8, 2015
- 3,522
- 4,569
Unafanya mchezo na granny sperms ( mbegu za mzee) na watakufa wote muda wa mzee ukifikaMmmh huyo mdada mbona kazeeka ghafla
Unafanya mchezo na granny sperms ( mbegu za mzee) na watakufa wote muda wa mzee ukifikaMmmh huyo mdada mbona kazeeka ghafla
Huyo pembeni cheupeeeee ni mjukuu wake!Mbunge wa zamani wa Urambo Magharibi na waziri wa wizara mbili tofauti nchini, Profesa Juma Kapuya amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kaliua, Tabora.
Ana mimba pia mbilimbi anazo mezaMmmh huyo mdada mbona kazeeka ghafla
Anachezea DUBWASHA LA KIZEE hadi limemuakisi.Mmmh huyo mdada mbona kazeeka ghafla
Yule mama hatakiwi kabisa. Bora hata huyu Prof kuliko yule mama (Sakaya).pale vp yule mama wa cuf
mwanaume ana miaka karibia 80 lakini kwenye picha anaonekana kama ana 50Mbunge wa zamani wa Urambo Magharibi na waziri wa wizara mbili tofauti nchini, Profesa Juma Kapuya amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kaliua, Tabora.
Anachezea DUBWASHA LA KIZEE hadi limemuakisi.
Kwa hisani ya makongoroKapuya Yupo tu!
Jasiri haachi asili!Kaja na kisu chake kabisa
Acha wivu!!Mmmh huyo mdada mbona kazeeka ghafla
Mama yake bado yupoJamani hivi watoto wa hayati Samwel Sitta wako wapi ? Na yule aliyekuwa meya, haenda kugombea jimbo la mzee.. nitamshangaa akitia nia Dsm.
Hataki shida kabisa......... Madaraka matamu sn......Kaja na kisu chake kabisa
Vipi amepita huko?
Aisee! Vijana hakuna huko?kapita ndiyo mzee