Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,246
Mbunge wa zamani wa Urambo Magharibi na waziri wa wizara mbili tofauti nchini, Profesa Juma Kapuya amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kaliua, Tabora.
===
Prof. Juma Kapuya kama utakuwa unakumbuka alikuwa waziri wa ulinzi na mbunge wa Urambo Tabora wakati wa utawala wa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, Prof Kapuya kwa sasa amestaafu na anafanya shuguli zake binasi
Prof. Juma Kapuya kama utakuwa unakumbuka alikuwa waziri wa ulinzi na mbunge wa Urambo Tabora wakati wa utawala wa Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, Prof Kapuya kwa sasa amestaafu na anafanya shuguli zake binasi