Mapambano Yetu
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 1,121
- 2,064
Kama watanzania wataamua kukichagua ccm basi waitwe wataalamu tupimwe akili.
Take simple example
"Popote anapopita Lowasa, mbumbumbu hawamwuulizi kama ana uwezo wa kupambana na ufisadi (mafisadi papa) na rushwa"
Take simple example
"Popote anapopita Lowasa, mbumbumbu hawamwuulizi kama ana uwezo wa kupambana na ufisadi (mafisadi papa) na rushwa"
Last edited by a moderator: