Mkosa hoja. . . .

I thought I've heard it all until when someone came with "I keep tag, and you have never supported me" to realize that JF will never cease to amaze me
Bwoii. . . that IS something.
 
Bwoii. . . that IS something.

The things that people do to be accepted by 'ghosts' in the world wide web just beats me.

Why do people care so much about people they don't know?

Keeping tabs?!
 
The things that people do to be accepted by 'ghosts' in the world wide web just beats me.

Why do people care so much about people they don't know?

Keeping tabs?!

Well, maybe they are just trynna make up for what they miss in the real world.

Crazy right. . . .!!
 
Well, maybe they are just trynna make up for what they miss in the real world.

Crazy right. . . .!!

Basi tu, vichwa vya binaadamu sijui vinafanya kazi vipi. Kwa sababu wengine ni kama ulivyosema labda wana matatizo katika maisha halisi, lakini wengine wanajieleza kuwa wana mahusiano ya kihisia yenye afya ya hali ya juu na watu wao wa karibu, unless hiyo nayo iwe ni kamba za kwenye mitandao tu

Sioni kwa nini mtu aje sehemu kama hii iliyojaa watu wa kila aina, kisha ategemee watu wasipinge hoja zake, na akipingwa ajisikie vibaya.
 
Hehehehe.
Natakaaaaaaaa mihogo ya kujaanga na kachumbari yenye pili pili kwa mbali.

....lol! mwaka mpya kulikuwa na mihogo ya kukaanga na pilipili ya unga iliyochanganywa na chumvi....hutaki pilipili ya unga shurti kachumbari!? :):)
 
Basi tu, vichwa vya binaadamu sijui vinafanya kazi vipi. Kwa sababu wengine ni kama ulivyosema labda wana matatizo katika maisha halisi, lakini wengine wanajieleza kuwa wana mahusiano ya kihisia yenye afya ya hali ya juu na watu wao wa karibu, unless hiyo nayo iwe ni kamba za kwenye mitandao tu

Sioni kwa nini mtu aje sehemu kama hii iliyojaa watu wa kila aina, kisha ategemee watu wasipinge hoja zake, na akipingwa ajisikie vibaya.

Watu wengi kwenye jamii yetu bado hawajafikia hatua ya kukubali kukosolewa. Ukimkosoa mtu ndo wengine wataporomosha matusi na wengine wanajawa na mawazo ya "humpendi wala humuuingi mkono kwa lolote". Sasa sijui wanataka wawe wanaungwa mkono kwa kila kitu hata visivyo sahihi ili iweje.
 
....lol! mwaka mpya kulikuwa na mihogo ya kukaanga na pilipili ya unga iliyochanganywa na chumvi....hutaki pilipili ya unga shurti kachumbari!? :):)

Naaaah!! Ya unga inanoga kwa maembe bwana. Ya mihogo shurti iwe na kale kamchuzi ka nyanya/ kautamu ka vitunguu, kauchachu ka limao na kauwasho ka pilipili.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Watu wengi kwenye jamii yetu bado hawajafikia hatua ya kukubali kukosolewa. Ukimkosoa mtu ndo wengine wataporomosha matusi na wengine wanajawa na mawazo ya "humpendi wala humuuingi mkono kwa lolote". Sasa sijui wanataka wawe wanaungwa mkono kwa kila kitu hata visivyo sahihi ili iweje.

Upo sahihi, sio kuwa hawajafikia hatua ya kukubali kukosolewa tu kuna wengine humu humu JF wanasema kuwa kwa kujiamini kwako wewe Lizzy (kwa mfano), basi unageuka "downer" kwa maisha yake yeye!

Sio kuungwa mkono kila wakati, hata hiyo kutaka kuungwa mkono mara moja moja na a specific person naona haina mantiki. Kama umegundua kuwa mawazo yenu kila wakati ni tofauti, ni kuonyesha tu you are lucky kuweza kumjua mtu ambae ni tofauti kabisa na wewe kimtazamo
 
Upo sahihi, sio kuwa hawajafikia hatua ya kukubali kukosolewa tu kuna wengine humu humu JF wanasema kuwa kwa kujiamini kwako wewe Lizzy (kwa mfano), basi unageuka "downer" kwa maisha yake yeye!

Sio kuungwa mkono kila wakati, hata hiyo kutaka kuungwa mkono mara moja moja na a specific person naona haina mantiki. Kama umegundua kuwa mawazo yenu kila wakati ni tofauti, ni kuonyesha tu you are lucky kuweza kumjua mtu ambae ni tofauti kabisa na wewe kimtazamo

Hahahaha inabidi watu wawe wanaficha na kujiamini kwao ili wengine nao wajisikie huru ehhhh. . !?lolz

Hiyo ya mtu kuwa na mtu ambae anaona kuungwa nae mkono ni kitu kikubwa sana na kupingwa nae ni kibaya sana tayari anakua amemuweka kwenye daraja la juu sana kiuelewa/utambuzi wa mambo. Kwahiyo ni muhimu akubaliwe nae ili aone nae kajitahidi kufikia kupata approval toka kwa huyo "kinara" na kila anapokosolewa nae kujiamini nako kunashuka. Ndo hata mashuleni wengine hua wanakata tamaa kwavile tu mwl. fulani hajawahi kumwandikia Vema kwenye daftari.
 
Hahahaha inabidi watu wawe wanaficha na kujiamini kwao ili wengine nao wajisikie huru ehhhh. . !?lolz

Hiyo ya mtu kuwa na mtu ambae anaona kuungwa nae mkono ni kitu kikubwa sana na kupingwa nae ni kibaya sana tayari anakua amemuweka kwenye daraja la juu sana kiuelewa/utambuzi wa mambo. Kwahiyo ni muhimu akubaliwe nae ili aone nae kajitahidi kufikia kupata approval toka kwa huyo "kinara" na kila anapokosolewa nae kujiamini nako kunashuka. Ndo hata mashuleni wengine hua wanakata tamaa kwavile tu mwl. fulani hajawahi kumwandikia Vema kwenye daftari.

Kwani mashuleni mpaka darasa la ngapi watu wanaandikiwa 'vyema' ...? Manake kwa kumbukumbu zangu, kuanzia form one sikuwa nikiandikiwa hivyo tena! :lol:
 
Kwani mashuleni mpaka darasa la ngapi watu wanaandikiwa 'vyema' ...? Manake kwa kumbukumbu zangu, kuanzia form one sikuwa nikiandikiwa hivyo tena! :lol:

Teh teh teh....wengine kuanzia fomu wani hadi fom foo hatukuwahi hata kuwa na daftari!

Siku ya mtihani ni kutumia nyenzo kwa kwa kwenda mbele! Gademu...sijui tulikuwa tunamdanganya nani.
 
Teh teh teh....wengine kuanzia fomu wani hadi fom foo hatukuwahi hata kuwa na daftari!

Siku ya mtihani ni kutumia nyenzo kwa kwa kwenda mbele! Gademu...sijui tulikuwa tunamdanganya nani.

Ha ha ha ulikuwa ukijidanganya mwenyewe na mshua aliekuwa akikulipia ada :lol:

Mimi nilikuwa nayo madaftari lakini sikumbuki kukusanywa kuandikiwa vyema wala ovyo. Sijui ndicho kilichoniathiri kuwa sasa kuwaambia watu "vyema" sioni kuwa na umuhimu? :eyebrows:
 
Kwani mashuleni mpaka darasa la ngapi watu wanaandikiwa 'vyema' ...? Manake kwa kumbukumbu zangu, kuanzia form one sikuwa nikiandikiwa hivyo tena! :lol:
Hahahahaha si bado kuna somo la kiswahili sec bana?Nwy nadhani secondary wao wanaweza wakawa wanaandika Very Good au Well done.

BTW. . .
Vema au sifa nyingine yoyote ile ni muhimu sana kwa mtu ambae hajaizoea. Nakumbuka shuleni kuna watu walikua wanaona wivu na chuki kabisa kuona mwenzie ana Vema, Vema, Vema wakati yeye hana. I guess wanaihitaji ili nao waone kwamba WANAWEZA.
 
Teh teh teh....wengine kuanzia fomu wani hadi fom foo hatukuwahi hata kuwa na daftari!

Siku ya mtihani ni kutumia nyenzo kwa kwa kwenda mbele! Gademu...sijui tulikuwa tunamdanganya nani.
Kama mlikua mnakula shule basi labda ulikua unamaind msosi tu. . . .
Mi nakumbuka primary wapo waliokuwa wanaonekana muda wa lunch tu.
 
Hahahahaha si bado kuna somo la kiswahili sec bana?Nwy nadhani secondary wao wanaweza wakawa wanaandika Very Good au Well done.

Huuh Lizzy usinambie mlikuwa mnakusanya madaftari na kuandikiwa Verry Good, Excellent, Keep it up, ? :tongue:
 
Huuh Lizzy usinambie mlikuwa mnakusanya madaftari na kuandikiwa Verry Good, Excellent, Keep it up, ? :tongue:

Siunajua tena St. Kayumba. Na mwisho wa mwaka lazima mtu uende mbele ya wanafunzi wote kujinyakulia daftari zako, penseli, kalamu na rula ukishika namba 1 - 3. Alafu kifunga mkia anapamba nyuma ya darasa (matokeo yanabandikwa shule zikifunguliwa) , basi unakuta mtu kajikosea raha masikini. Sijui kama siku hizi wameacha. . . . .
 
Siunajua tena St. Kayumba. Na mwisho wa mwaka lazima mtu uende mbele ya wanafunzi wote kujinyakulia daftari zako, penseli, kalamu na rula ukishika namba 1 - 3. Sijui kama siku hizi wameacha. . . . .

Labda inaendelea.

Sie wengine shule kuanzia form one tulifundishwa "your opinion is what matters the most, not even the teachers'".

Ikitolewa assignment, siku ya pili inasahihishwa darasani kwa pamoja kwa mfumo wa tutorial vile, utajijua mwenyewe kama ulikuwa "very good" au "very bad"

:biggrin:
 
Labda inaendelea.

Sie wengine shule kuanzia form one tulifundishwa "your opinion is what matters the most, not even the teachers'".

Ikitolewa assignment, siku ya pili inasahihishwa darasani kwa pamoja kwa mfumo wa tutorial vile, utajijua mwenyewe kama ulikuwa "very good" au "very bad"

:biggrin:
That's the best way to learn. Sio unamsikiliza tu mwalimu, unakopi anayoandika na kukariri bila kujifunza. St. Kayumba mwl hata swali haulizwi labda kama unataka arudie mfano.
 
Back
Top Bottom