eumb
Senior Member
- Apr 2, 2012
- 149
- 70
Jana Ndg Mwita Mwikabwe (Chadema) amepandishwa kizimbani huko Singida akikabiliwa na tuhuma za kumtukana Mwigulu Nchemba (CCM).
Nikakumbuka kisa cha Lusinde aliyesimama hadharani na ikawa recorded akimwaga matusi mazito, lakini huyu alionekana ameteleza tena akakaribishwa na kwenye media mbalimbali kama clouds radio ili aweze kusahihisha kile alichosema japo hakuweza kwenda kufuta kwenye youtube Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube Sasa najiuliza japo Mwita atapewa nafasi ya kujitetea mahakamani lakini huyu wa CCM yeye hakustahili kupandishwa kwa Pilato naye??
Au CCM wako juu ya sheria? Tumesikia jinsi Chadema walivyoeleza hali ilivyokuwa tete siku ya mkutano, na wametaja na RB No baada ya kutoa taarifa polisi, hivi hawakustahili kusikilizwa? Au CCM ndio chama kinachostahili kwa kila kitu?
Nikakumbuka kisa cha Lusinde aliyesimama hadharani na ikawa recorded akimwaga matusi mazito, lakini huyu alionekana ameteleza tena akakaribishwa na kwenye media mbalimbali kama clouds radio ili aweze kusahihisha kile alichosema japo hakuweza kwenda kufuta kwenye youtube Mh. Livingstone Lusinde akimwaga Sera za CCM Arumeru - YouTube Sasa najiuliza japo Mwita atapewa nafasi ya kujitetea mahakamani lakini huyu wa CCM yeye hakustahili kupandishwa kwa Pilato naye??
Au CCM wako juu ya sheria? Tumesikia jinsi Chadema walivyoeleza hali ilivyokuwa tete siku ya mkutano, na wametaja na RB No baada ya kutoa taarifa polisi, hivi hawakustahili kusikilizwa? Au CCM ndio chama kinachostahili kwa kila kitu?