mkome wake za watu!

Kung'ang'aniwa sio kubakwa. . .bado mtu anaweza kusema HAPANA.

Lizzy, umenimaliza kabisa!
Jamani waokoeni kwenye visu vya waume zenu!
Hivi una imagine HAWARA yako akipigwa mavisu utumbo utoke nje na wewe unaona?
Au akigeuzwa nyuma mbele yako?
Unaweza kuepusha hayo yote kwa kusema NO
 
Halafu iweje sasa wanaume wakiacha kufanya kazi zao za msingi kabisa? Na wanawake wanaotongoza inakuwa vipi? Mjini shida ni hela....huko vijijini shida ni wivu, ushirikina,kukata taamaa ndo maana unaona mtu anavizia mwezake mpaka anamuua. Inasaidia nini sasa baada ya kuua? Kuzuia uroda kuendelea kukawiwa? Chezea siku za kuishi duniani kwa hasara ya nani??!

Wengi wao wanakuwa hawajakusudia kuua....
 
Lizzy, umenimaliza kabisa!
Jamani waokoeni kwenye visu vya waume zenu!
Hivi una imagine HAWARA yako akipigwa mavisu utumbo utoke nje na wewe unaona?
Au akigeuzwa nyuma mbele yako?
Unaweza kuepusha hayo yote kwa kusema NO

Okada. . .Ndio hivyo. Kung'ang'aniwa hakumlazimu mtu kusema NDIO sema eti wapo watu wanaotumia "alining'ang'ania" kama kisingizio!!
 
Last edited by a moderator:
Msela kafa kishujaa huyo,cheza na nyapu nini.Halafu huyo aliyemuua amekosea sana wa kua ni mwanamke bana.Imeniuma sana
 
Back
Top Bottom