ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,044
- 49,728
Kariakoo imeanza kurudi Kwenye ubora wake wa kuwa Kituo Cha Kimataifa Cha Biashara..
MKOA wa kikodi wa Kariakoo umevunja rekodi kwa kukusanya Sh bilioni 40.8 sawa na asilimia 102 kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 30, 2023, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata amesema wakati akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kwenye bonanza la michezo lililoandaliwa na TRA na wafanyabiashara wa Kariakoo kwenye viwanja vya Jakaya Kikwete.
Kidata amesema mkoa wa kikodi wa Kariakoo wenye wafanyabiashara 30,000 umekusanya Sh bilioni 40.8 sawa na asilimia 102 kwa mwaka uliopita wa fedha 2022/2023 ambapo awali Kariakoo haijawa mkoa wa kikodi walikuwa wakikusanya Sh bilioni 14 kwa mwaka.
MKOA wa kikodi wa Kariakoo umevunja rekodi kwa kukusanya Sh bilioni 40.8 sawa na asilimia 102 kwa mwaka wa fedha ulioishia Juni 30, 2023, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata amesema wakati akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila kwenye bonanza la michezo lililoandaliwa na TRA na wafanyabiashara wa Kariakoo kwenye viwanja vya Jakaya Kikwete.
Kidata amesema mkoa wa kikodi wa Kariakoo wenye wafanyabiashara 30,000 umekusanya Sh bilioni 40.8 sawa na asilimia 102 kwa mwaka uliopita wa fedha 2022/2023 ambapo awali Kariakoo haijawa mkoa wa kikodi walikuwa wakikusanya Sh bilioni 14 kwa mwaka.