ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,076
- 49,774
Mamlaka ya Mapato Zanzibar ZRA imevuka malengo ya nusu mwaka Kwa Kukusanya Asilimia 104% ya Mapato Kwa Kukusanya Bilioni 351 badala ya Bilioni 335.
View: https://www.instagram.com/p/C1miwszoXw5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Hii inakuja baada ya TRA kuweka rekodi ya mwaka Kwa Kukusanya Mapato ya Trilioni 3 mwezi disemba 2023 na kuandika ukurasa Mpya.
View: https://www.instagram.com/p/C1kUoGEN4fE/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
My Take
Nawapongeza Rais Samia & Rais Mwinyi Kwa kuonesha utofauti.
Hakuna bunduki Wala kupora pesa za watu lakini Mapato yamepatikana mara 2 ya wale wa kipindi kile.
Uongozi ni kipawa Sio Kila mtu anaweza.
View: https://www.instagram.com/p/C1miwszoXw5/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Hii inakuja baada ya TRA kuweka rekodi ya mwaka Kwa Kukusanya Mapato ya Trilioni 3 mwezi disemba 2023 na kuandika ukurasa Mpya.
View: https://www.instagram.com/p/C1kUoGEN4fE/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
My Take
Nawapongeza Rais Samia & Rais Mwinyi Kwa kuonesha utofauti.
Hakuna bunduki Wala kupora pesa za watu lakini Mapato yamepatikana mara 2 ya wale wa kipindi kile.
Uongozi ni kipawa Sio Kila mtu anaweza.