Seth saint
JF-Expert Member
- Oct 27, 2020
- 776
- 1,600
Eze ngata tizina magezi ,sema tu kila mda wanawaza wahaya sijui wanashindwa nini kuendeleza hili taifa kama kweli wanawazidi wahayaKimsingi huo umasikini mnaousemea mkoa wa Kagera ni wa kufikirika. Mkifika kule mkaona mijengo ilivyo na hali ya watu ilivyo ndo mtakasirika zaidi