Naombeni msaada wenu wana JF nataka kuanzisha shule ya computer ila yawe maeneo ya mkoa usio popular sana kama dar, mwanza, arusha, ni wapi hasa ukiwa chipukizi ni pouwa sana!
Mkuu pia napenda kushauri, usiangaike sana kununua CPU nyingi tumia All in one PC station NC400-network terminals embed in monitor. Hapa utaitajika kutumia only one CPU kama main access point. Kwa maelezo zaidi www.psgtech.cn
This will cost you less, pia control ya virus haitokusumbua.
Mkuu pia napenda kushauri, usiangaike sana kununua CPU nyingi tumia All in one PC station NC400-network terminals embed in monitor. Hapa utaitajika kutumia only one CPU kama main access point. Kwa maelezo zaidi www.psgtech.cn
This will cost you less, pia control ya virus haitokusumbua.
Mkuu naona hiyo kitu si gharama sana, US$ 22.8. wewe umewahi itumia???
Mkuu pia napenda kushauri, usiangaike sana kununua CPU nyingi tumia All in one PC station NC400-network terminals embed in monitor. Hapa utaitajika kutumia only one CPU kama main access point. Kwa maelezo zaidi www.psgtech.cn
This will cost you less, pia control ya virus haitokusumbua.
Nazitumia sana mkuu. Nilianza kuzitumia mwaka 2008. Kuna wahindi walizitangaza sana kwa bei ya $ 500 kila moja. niliwatembelea nikapata details za hizo NTC then nikazitafuta kwenye net. nilinunua kila moja $50 by that time. hadi leo zipo 30 na natumia only one CPU in my office.you just need kuongeza memory ya CPU yako.
Nazitumia sana mkuu. Nilianza kuzitumia mwaka 2008. Kuna wahindi walizitangaza sana kwa bei ya $ 500 kila moja. niliwatembelea nikapata details za hizo NTC then nikazitafuta kwenye net. nilinunua kila moja $50 by that time. hadi leo zipo 30 na natumia only one CPU in my office.you just need kuongeza memory ya CPU yako.
Mkuu mimi namalizia tu kulipa visa tu imenisumbua itabidi nilipe kwa western kesho mapema, lakini bado sijaelewa kidogo mkuu! Kwahiyo unatakiwa kuwa nazo ngapi? kila moja inatumia monitor moja? au ukinunua moja ndo inaweza kuoperate monitor kumi?
Nazitumia sana mkuu. Nilianza kuzitumia mwaka 2008. Kuna wahindi walizitangaza sana kwa bei ya $ 500 kila moja. niliwatembelea nikapata details za hizo NTC then nikazitafuta kwenye net. nilinunua kila moja $50 by that time. hadi leo zipo 30 na natumia only one CPU in my office.you just need kuongeza memory ya CPU yako.
Njoluma, Katavi na mkoa wa Geita.
Mikoa mingine yote wajanja wamesha simika mizizi yao