WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
- Thread starter
- #41
do u need specs to see this?Una uhakika na hilo?
hii thread toka imeanza..sijui kama unaona trend ya discussions.
do u need specs to see this?Una uhakika na hilo?
we unasema tu!....
ishu ni kwamba vipimo VIKIKOSEWAIshu nn sasa kupokea majibu yako au kudungwa sindano kuchukua damu wakapime?
ishu ni kwamba vipimo VIKIKOSEWA
Wanawake wanakurupuka sana kwenye mambo ya jumla jumla. Ndio maana hata kwenye makanisa ya vichochoroni ndio wamejazana huko, kwenye mikopo, kwenye mazishi, kwenye NGOs. Wanaume wako tofauti kipsychologia. Wanapima risk na matokeo yake kwanza. Hata mtoto wa kiume anachelewa kutembea kwa sababu hataki kurisk kuanguka.Hii ishu wa wanaume kuruka kimanga.inanikumbusha wakati fulani wataalamu walikuja kanisani kwetu wakahamasisha watu wakapime.Watu walikuja kanisani na familia zao - baba, mama na watoto. Baada ya uhamasishaji kilichotokea ni wakina mama na watoto ndio walioongoza kwenda kupima.Wakina baba wakaelekea kwenye magari yao wakaenda kuwasubiri wamama na watoto wapime! Ilikuwa aibu maana maswali yaliyojitokeza dhahiri ni kuwa wakina baba hawakwenda kupima kwanini???
ingekuwa ni wewe wanao na mke wameenda kupima wewe ukasubiri kwenye gari - ungewaangaliaje wanao mkiwa mezani? wakianza kukuuliza baba kwanini hukuja kupima ungejibu nini?
.
Afu wengine tuna bahati mbaya sana kukosewa vipimo.ishu ni kwamba vipimo VIKIKOSEWA
Wanawake wanakurupuka sana kwenye mambo ya jumla jumla. Ndio maana hata kwenye makanisa ya vichochoroni ndio wamejazana huko, kwenye mikopo, kwenye mazishi, kwenye NGOs. Wanaume wako tofauti kipsychologia. Wanapima risk na matokeo yake kwanza. Hata mtoto wa kiume anachelewa kutembea kwa sababu hataki kurisk kuanguka.
Another Great thinker.Wanawake wanakurupuka sana kwenye mambo ya jumla jumla. Ndio maana hata kwenye makanisa ya vichochoroni ndio wamejazana huko, kwenye mikopo, kwenye mazishi, kwenye NGOs. Wanaume wako tofauti kipsychologia. Wanapima risk na matokeo yake kwanza. Hata mtoto wa kiume anachelewa kutembea kwa sababu hataki kurisk kuanguka.
WOS hivi title ya hii thread inasemaje?Another dimension..asante japo its too general.Sitaku kuamini kuwa kwenye DECI walikuwa wanawake tu.
Sitaki kuamini kuwa waliokufa kule kwa Kibwetere walikuwa wanawake tu.Nasita kuamini kuwa waliokuwa kwenye cults deaths kule Jonestown - Guyana walikuwa wanawake tu! I could go on and on - hadi kwa akina Kakobe, na wengineo
Hujawahi kufiwa hasa na uwapendao.kama ushawahi kufiwa basi hujawahi kupenda.Wanawake wanakurupuka sana kwenye mambo ya jumla jumla. Ndio maana hata kwenye makanisa ya vichochoroni ndio wamejazana huko, kwenye mikopo, kwenye mazishi, kwenye NGOs. Wanaume wako tofauti kipsychologia. Wanapima risk na matokeo yake kwanza. Hata mtoto wa kiume anachelewa kutembea kwa sababu hataki kurisk kuanguka.
Another dimension..asante japo its too general.Sitaku kuamini kuwa kwenye DECI walikuwa wanawake tu.
Sitaki kuamini kuwa waliokufa kule kwa Kibwetere walikuwa wanawake tu.Nasita kuamini kuwa waliokuwa kwenye cults deaths kule Jonestown - Guyana walikuwa wanawake tu! I could go on and on - hadi kwa akina Kakobe, na wengineo
WOS hivi title ya hii thread inasemaje?
Tuendelee..............!!!!!!
Hivi kile kibatani cha ziii lini kitawekwa?Wanawake wanakurupuka sana kwenye mambo ya jumla jumla. Ndio maana hata kwenye makanisa ya vichochoroni ndio wamejazana huko, kwenye mikopo, kwenye mazishi, kwenye NGOs. Wanaume wako tofauti kipsychologia. Wanapima risk na matokeo yake kwanza. Hata mtoto wa kiume anachelewa kutembea kwa sababu hataki kurisk kuanguka.
OK. Sasa turudi kwenye mada.title inahusu kupima.... ila kuna mchangiaji kasema wanawake wanapenda kufuata mkumbo kwenye mambo ya jumla jumla....wakati wanaume wanapenda kwanza kufanya risk assessment... i think s/he was refering to my eg kuhusu kupima kanisani baada ya uhamashishaji....
hahahah..hajashikwa mtu pabaya...WOS,
Acha kuwashika watu pabaya. Naomba na mimi nisema (kwa uwazi na kweli tena) kwamba chipimi wala chitaki kwenda eti huko mnaita ANGAZA. Kwani body language (symptoms) inaonesha kuwa tayari niko kwenye grid? Nothing is done without a reason.
Sijawahi na sipimi, labda kama ni kwa sababu za kisiasa kama akina JK.