KWANZA lazima ujue kwanini anakataa, ukishajua sasa utapambana na hiyosababu yake ya kukataa. PILI elewa kuwa wanaume wengi hatutaki kuelekezwa elekezwa na akina mama, wazo litoke kwangu sio kwako,sijui ndo mnaita mfumo dume sijui. TATU wanaume wengi issue sio kupima tatizo ni kupokea matokeo, wakati huo unaambiwa kaa hapa majibu yako haya. we? he? Nikikuta positive sijui nilie? kweli nilie mbele ya mke wangu?.
Hizo ni baadhi ya sababu.
Cha kufanya;
1. Kupima isiwe issue kwenu kila mkikaa kapime kapime kapime kutwa nzima, mtafute rafiki yake wa karibu anaempenda na kumsikiliza ndie amweleze
2. Anaweza akakataa kwa vile anahisi ameathirika, changudoa wake Mwajuma kafa kwa ukimwi mwaka jana na walikuwa wanacheza pekupeku.
kwenda kupima kwake ni kama kwenda nyumba ya kuhifadhi maiti na kuuliza wahudumu nimemletea mgonjwa wangu chai.Hataenda. Hapa anapaswa kuelezwa tena na rafiki yake kuwa unajua kufa kwa mwajuma si lazima uwe na ukimwi, watu wana ukimwi na wanazaa watoto wasio na ukimwi ,hapo ataenda
aaaaah mbona mbinu nyigi tu, ningekueleza zote tatizo time, muda.Pamoja na hayoo yoteee wanaume wenzangu TUKAPIMENI.
Hizo ni baadhi ya sababu.
Cha kufanya;
1. Kupima isiwe issue kwenu kila mkikaa kapime kapime kapime kutwa nzima, mtafute rafiki yake wa karibu anaempenda na kumsikiliza ndie amweleze
2. Anaweza akakataa kwa vile anahisi ameathirika, changudoa wake Mwajuma kafa kwa ukimwi mwaka jana na walikuwa wanacheza pekupeku.
kwenda kupima kwake ni kama kwenda nyumba ya kuhifadhi maiti na kuuliza wahudumu nimemletea mgonjwa wangu chai.Hataenda. Hapa anapaswa kuelezwa tena na rafiki yake kuwa unajua kufa kwa mwajuma si lazima uwe na ukimwi, watu wana ukimwi na wanazaa watoto wasio na ukimwi ,hapo ataenda
aaaaah mbona mbinu nyigi tu, ningekueleza zote tatizo time, muda.Pamoja na hayoo yoteee wanaume wenzangu TUKAPIMENI.