baradhuli mkubwa we. Subiri akutie na vidole ndio utajua.
Baradhuli mkubwa we. Subiri akutie na vidole ndio utajua.
Second hand unategemea nini??
Pole sana,hongera yataka moyo kuoa mwanamke aliyeisha achika kwa mumewe kwanza.......
Nakushauri tulia na jipange vizuri kukabiliana naye.....huo ni mwanzo tu,kama alimuacha wa kwanza akakupata wewe then anajua aweza mpata/kama si anaye mwingine.......
Muombe Mungu akulinde na aondoke salama,huna mke,una mwanamke unayeishi nae chini ya dari moja.......let her go....forgive....move on!!!!
Na kama yuko kwa dada yake na dada yake haoni tatizo,then hata ndugu zake hawana busara au labda hawakutaki......kama unampenda sana mpe muda uone,mshirikishe Mungu na wazazi na ndugu zako pia,watakushauri.
Miss Judith u so wise !
Mkuu kama kweli wewe ni mdada naona kama hujamtendea haki mwenzio.
ila siriazz kama ni kweli una uhakika aliitoa mimba yako......then that should be a warning sign,haoni future na wewe!..tunatoa mimba za maboyfriend tu sio waume zetu...mnh????:twitch::twitch::twitch::sick:
Huyo amepata Mwingine,apo una jinsi achana nae,na ata ikitokea one day anataka rudi kwako KIMBIZA ni kimeo cha Nguvu.Najua unaweza kuwa UNAMPENDA but piga Moyo Konde usiangalie Nyuma(nnajua ipo siku atakutafuta) wewe mpotezeee mlupo huyo.MALAYA NI MALAYA AFAI KUWA MKE
nimeoa mwanamke aliyeisha olewa zamani na akaachika, maelewano na masikilizano ndani ya nyumba mwanzo yalikuwa mazuri, ukorofi ukaanza ghafla, akashika mimba akaenda itoa kisha akadai imetoka yenyewe, safari za kwenda kwao zikawa haziishi , na vitu vyake alivyokuja navyo kwangu akawa anahamisha kidogo kidogo kila nnapokuwa sipo.
Nilipomuuliza akadai yeye kuna mtu amemuazima pesa na ili akasome ndio kaamua na yeye amuazime vitu vyake kisha akimaliza kusoma ataenda kuvigomboa, nikamuuliza mbona mimi hukunishirikisha ktk hilo japo vitu ni vyako, basi kuanzia hapo ni makeke tu na hivi niongeapo yuko kwa dada yake yapata wiki na zaidi hakuna ugomvi zaidi ya hilo suala, jana ananiambia uko kimya hali ya kuwa unajua nahitaji kwenda kusoma huku sina hela nikueleweje, NIMEMWAMBIA KAMA UNAJUA MIMI NI MUMEO NAWAJIBIKA KWA HILO NI VIPI UKAE KWA DADA YAKO ...?
NIMEKATA MAWASILIANO NA YEYE KAKAA KIMYA ..........
Baradhuli mkubwa we. Subiri akutie na vidole ndio utajua.
Second hand unategemea nini??