skendo
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 212
- 101
Mna uzoefu na ndoa au mnatoa tu ushauri?
Ni mtazamo wangu tu jamani.
michango yako!da!inanifanyaga nikupende zaidi haaaaaa!
Mna uzoefu na ndoa au mnatoa tu ushauri?
Ni mtazamo wangu tu jamani.
ID ya kwanza muyombakeneyo ilinisumbua katika kucomment. Maxence akanishauri nifungue nyingine
your wife must be very proud of you!!!!!!!!!!
umefanana sana na mtu mmoja hivi.
kumbe mjamzito?
Hakuna cha mimba wala nini.
Kakuchoka tu.
Ndio ni miezi mitano
Unafikiri itakuwa ni nini
Nimekuwa na tatizo hili kwa miezi mitano sasa. Nimejaribu kuvumilia lakini nimeshindwa.
Tumejaaliwa mtoto mmoja wa kiume na kwa sasa mke wangu ni mjamzito. Mke wangu baada ya kupata ujauzito miezi mitano iliyopita amenichukia sana na inafikia kipindi tunagombana sana tukiwa faragha na hadi kufikia uamuzi wa kwenda kulala kwenye chumba na housegirl.
Nimemuomba sana tulale wote chumbani lakini bila mafanikio so nikaamua kumchunia hadi hivi sasa huu ni mwezi wa tano. Je niendelee na msimamo huu wa kulala peke yangu na kama hapana je kuna madhara yoyote kutokana na hali hii? Msaada please.
Umeshasema mimba, them calm down na amini ni mapito. Mimba zina mambo mengi, saa nyingine unaweza kudhani mtu anafanya makusudi lakini si akili yake. vumilia, miezi minne iliyobaki si mingi.