I AM WHO I AM
Member
- Oct 18, 2012
- 49
- 35
Acha kumchunguza Mkeo. Tena sahau simu yake. Kabla ya kumuacha jiulize je kwa Miaka hiyo 10 hujawah chepuka?Tumefunga ndoa sasa yeye na mimi ni mwili mmoja,chake changu,changu chake nitaachaje kuchunguza?
Kama hujawah muache.
Pili, hawezi kuwasiliana na Ex wake kama kweli umemtendea haki, unampenda na kumjali.
Huyo ni mali yako na usidanganywe humu ndani ukamuacha. Mke si wa kitandani tu. Mke ni hao watoto, na uzeeni.
Usitegemee atatokea Mke mwingine mzuri kama huyo. Mwite mkeo mweleze akutunzie heshima. Atakuelewa