lafionaposh
Senior Member
- Jul 22, 2015
- 139
- 64
Unafwatana na rafikiiii daily utadhan unabalehe.
Kumbe wewe ni baba vick,yeye mwenzako baba swaleh.
Acha kuishi kibachelor ndani ya nyumba utaleta maseke.
Hahaaa utakuwa unaangukia kwenye hivi virusi.
ya shule mtoto huyajui dingi...ratiba unayoijua n tungi na soka diing mahoka....
na bado una laini kumi na sim ikishikwa n ngumi napassword km lugha ya kihuni mda na mkeo haupat unachat upo kwenye group km 8 za whatsapp unachat vitu unavyoongea siyo smart et una mabebe kbao km mswati.