Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,794
- 3,724
Kama una watoto umezaa naye ukawapime na DNA kabisa huenda umepigwa changa la macho. Huyo mkeo sio mwaminifu hata kidogo na anakuwa mkali sababu anahisi ANACHOFANYA YEYE NA WEWE UNAKIFANYA. Simama kama mtoto wa kiume acha ulegelege kama hii serikali yetu. Simamia mambo yako kwa ukamilifu kuwa mgumu kama ugali wa dona na maharage ya chumvi,usiwe laini kwake kama ugali wa sembe na mlenda . Ameshakufanya poyoyo wake huyo.SHITUKA MACHALE KUNDESA MEKU