chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Utamu huanza polepole, hatimaye wanagombea nafasi za siasa na wanapita BILA KUPINGWA!
Mke wa Rais unataka afanye nini acha amwakilishe mzee.Au unataka mchumba wa slaa aende
Mke wa Rais wa Zanzibar mama Mwanamwema Shein amezindua kituo cha polisi cha Tumba mkoa wa Mjini Magharibi.Katika uzinduzi wa kituo hicho, kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa ndiye alikuwa mwenyeji wa mama Mwanamwema.
My take: Katika siku za nyuma uliwahi kuzuka mjadala kuhusu shughuli za kisisa alizokuwa anazifanya Mama Salma Kikwete na akawa anasomewa taarifa za maendeleo na wakuu wa mikoa, wilaya nk. Watu wakahoji yeye ana wadhifa gani serikalini. Sasa Hili la kituo cha polisi imekaaje wakuu?
Wapi kanuni imekiukwa, Kwani wapi imeandikwa kuwa kuna mtu special kwenye kukata utepe, hata mkata majani wako anaweza kwenda kufungua zahanati,ilew ni sherehe tu haipo kwenye taratibu za kiutawala, Siku hizi jukwaa la siasa limetawaliwa na mijitu ambayo akili zao zimefungwa kwenye makende, yaan tunazidiwa hata na wale wa chitchat,mapenzi etc. Leteni mada zinazo reflect hadhi ya member wake kama vp c muwe wachangiaji kama mimi badala ya kuanzisha thread za ki field field!
Mkuu mbona unaleta kashfa hapa, hilo halikuwa lengo la mtoa mada hapa, kauliza swali, jibu na sivyo vinginevyoMke wa Rais unataka afanye nini acha amwakilishe mzee.Au unataka mchumba wa slaa aende
Mke wa Rais unataka afanye nini acha amwakilishe mzee.Au unataka mchumba wa slaa aende
umenivunja mbavu! hata mahausi geli wao wanapiga jalamba!Usishangae muda si mrefu tutaanza kuona wakata majani wao wanafungua miradi mbalimbali
Mke wa Rais unataka afanye nini acha amwakilishe mzee.Au unataka mchumba wa slaa aende
Mke wa Rais wa Zanzibar mama Mwanamwema Shein amezindua kituo cha polisi cha Tumba mkoa wa Mjini Magharibi.Katika uzinduzi wa kituo hicho, kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa ndiye alikuwa mwenyeji wa mama Mwanamwema.
My take: Katika siku za nyuma uliwahi kuzuka mjadala kuhusu shughuli za kisisa alizokuwa anazifanya Mama Salma Kikwete na akawa anasomewa taarifa za maendeleo na wakuu wa mikoa, wilaya nk. Watu wakahoji yeye ana wadhifa gani serikalini. Sasa Hili la kituo cha polisi imekaaje wakuu?
Kumbe ni Zanzibar ? Ha hao wana nchi Yao na mamlaka Yao Siwezi kuwaingilia