Mke wa ndugu yangu aivunja ndoa Yake kwa mikono Yake mwenyewe

Raymanu KE

JF-Expert Member
Jan 20, 2022
6,843
12,612
Waslaam wakuu!

Nipo na ndugu yangu mmoja ambaye sio ndugu wa toka nitoke ila baba Yake na baba yangu Ni ndugu wa baba mmoja.

Ndugu yangu alikuwa na mke na wamefanikwa kupata watoto wawili wa mvulana na msichana.
Ilifika wakati maisha yakabana Sana jamaa yangu akalazimika kwenda mjini kuhenyeka angalau apate chochote ili aweze kumhudumia familia yake aliyoiacha kijijini.


Mke naye alikuwa mpambanaji kwa kiasi fulani kwa hiyo alipata wazo la kutafuta mtaji angalau aanzishe kabiashara.Alipopata mtaji aliamua kuanza biashara ya kuuza pombe za kienyeji.Alikuwa na Uhuru wa kufanya biashara Yake vizuri tu coz alikuwa ashatengeneza uhusiano mzuri na wajeda na kuwapa mlungura kwa hiyo hawakuwa wanamsumbua.Wao walikuwa wanamtembelea baada ya muda fulani na kupewa chochote kitu na kusepa kwao.

Maisha yalikuwa poa Sana kipindi hicho maana pesa ilikuwepo na jamaa alikuwa na uhusiano mzuri na mkewe.
Jamaa alikuwa anakuja kuitembelea familia Yake baada ya muda fulani na Kisha kurudi mjini kuendelea na kazi.

Watu kutoka sehemu mbali mbali walikuwa wanamiminika kwenye nyumba ya yule mama kwa ajili ya kubugia pombe alizokuwa ametengeneza yule mama.Kiukweli mke was jamaa alikuwa anapiga hela ndefu sana kutokana na hiyo biashara yake.

Sasa katika wale wanywaji wa pombe Kuna jamaa mmoja alianza kujenga mazoea yasiyo ya kawaida na mke wa ndugu yangu.Yule jamaa alikuwa anashinda pale kwa muda mrefu Sana akinywa pombe zake huku anapiga stori na mke wa ndugu yangu.
Baada ya muda fulani wakawa wamependana.Kumbuka yule jamaa naye alikuwa na familia yake,Yaani mke na watoto.

Waliendelea na mahusiano yao kisirisiri Hakuna mtu aliyejua coz jamaa alikuwa anazuga tu kunywa pombe kumbe alikuwa na ajenda nyingine.
Ilifikia wakati akaanza kuja kulala kwenye hiyo nyuma na mke wa ndugu yangu.

First born wa ndugu yangu alikuwa anaitwa Joel na kipindi hicho alikuwa amefikisha miaka minne.
Kumbe Joel kilikuwa na uelewa mkubwa Sana kwani kalikuwa kameshausoma mchezo wa mama Yake na yule mwanaume wake ila kalikuwa kanauchuna tu mpaka siku baba anarudi kutoka kazini ili kampe mchongo mzima.
Joeli alikuwa anaona jinsi mama Yake alivyokuwa anamfungulia mlango yule jamaa mida za Usiku.Joel alikuwa anaona jinsi jamaa alivyokuwa chumbani kwa mama Yake na kushinda huko muda mrefu.

Sasa ndugu yangu alipopewa likizo kazini aliamua kufululiza Moja kea Moja Hadi nyumbani kwake kuja kuitembelea familia Yake Kama kawaida Yake.
Mara hii alipokuja alimkuta mkewe kubadilika Sana kitabia.Yaani alikuwa amenza kuwa mjeuri Sana mixer kumjibu mumewe hovyo.
Kimbembe chenyewe Sasa kilianzia chumbani kwani mke aligoma kbsa kumpa mumewe mzigo ale.Kila jamaa alipokuwa anajaribu kumgusa mkewe mke alikuwa alikuwa anarusha mikono na kusonya huku akisema Hana hamu ya kufanya tendo.
Ukawa Ni mwendo wa kulala mzunguko wa nne hakuna kugeukiana.Mke wa jamaa alikuwa amenogewa na dushe la mchepuko wake kwa hiyo hataki kusikia habari za mumewe.

Sasa siku Moja Joel kalitime mama ametoka kiasi kakawa kamebaki na baba tu,kakaamua kujilipua kakamweleza baba kila kitu mama alichokuwa anafanya na yule mchepuko wake kwenye nyumba ya.Ndugu yangu alistuka sana kusikia maneno Kama hayo kutoka kwa mtoto Kama yule.

Jamaa alipomdadisi mkewe kuhusu ishu yenyewe Ila mke alimkatalia kbsa akasema Hakuna kitu Kama hicho huyo alikuwa mteja was pombe tu.
Jamaa hakuridhika na maneno ya mkewe akaamua kuita kikao Cha familia ili kutatua Hilo suala.

Kikao kikaitwa na watu kadhaa wa familia akiwemo baba yangu wakahudhuria.Jamaa alihakikisha mpaka Joel naye yupo Kwenye kikao ili atoe ushahidi wa Yale aliyoyashuhudia.
Jamaa alikuwa ameapa kwamba iwapo mkewe atapatikana na hatia ya kuchepuka Basi ndio itakuwa mwisho wa ndoa yao kila mtu ashike hamsini zake.

Mambo yaliongeleka mengi Sana hasa kutoka kwa jamaa yet.Alisema aliporudi kazini alimkuta mkewe amebadilika Sana Hadi kufikia hatua ya kumnyima unyumba.
Tatizo mke wa jamaa naye badala ya kujishusha akiri makosa Yake na ikiwezekana asemehewe,yeye aliendelea kuonyesha jeuri Yake pamoja na kuongea pumba tupu kwenye kikao.Alidai yeye Yuko tayari kuachana na mumewe kwani ashamchoka.
Mke hakukana ushahidi ulitolewa na Joel pamoja na watu wengine waliokuwa wameustukia mchezo wa huyu mwanamke na mchepuko wake.

Waliachana kwa hasira Sana na mke akafungasha akarudi kwao jamaa akabaki na wanaye ndoa ikawa Imevunjika hivo.
 
WANAWAKE NARUDIA KUWAMBIA HUU UKWELI..MCHEPUKO ATAKUAMBIA USIJALI HATA UKIVUNJA NDOA NAKUOA.


MCHEPUKO HAKUOI..YAAN HUKO KWENU, ATAANZA KUWAZA JINSI YA KUKUHUDUMIA,. MARA AKUPANGISHE MARA MAHITAJI, NAYEYE ANAFAMILIA.

HAWEZI KUKUOA, UMEBOMOA NYUMBA YAKO KWA MIKONO YAKO !!.

ATAKUHUDUMIA MWEZI MMOJA TU KISHA ANAPOTEAA.

UTAANZA KULIA NAKUTOA KAMASI URUDI KWAKO.

JAMII ITAKUCHEKAA SANAAAA.

MATOKEO YAKE, UTAANZA KULIWA NA BODABODAAAA.

UTALIWA MPAKA UTAANZA PEWA MASHARITI .."HIYO HELA NITAKUPA LAKINI NIONJESHE MKUNDUU MY".
 
Kimsinhi mapenzi huwa ya watu wawili.
Ni vigumu kupenda watu wawili Kwa wakati mmoja. In short make wa jamaa yako aliwekeza hakili na hisia Kwa mchepuko.
Na Kwa kawaida mahusiano ya kingono hugeuka kuwa ugojwa wa mapenzi, ambao hupelekea mtu kutoelewa Wala kusikia chochote aambiwachio.
Refer mke wa boss kutembea na kijana wa kazi vs baba na house girl
 
Waslaam wakuu!

Nipo na ndugu yangu mmoja ambaye sio ndugu wa toka nitoke ila baba Yake na baba yangu Ni ndugu wa baba mmoja.

Ndugu yangu alikuwa na mke na wamefanikwa kupata watoto wawili wa mvulana na msichana.
Ilifika wakati maisha yakabana Sana jamaa yangu akalazimika kwenda mjini kuhenyeka angalau apate chochote ili aweze kumhudumia familia yake aliyoiacha kijijini.


Mke naye alikuwa mpambanaji kwa kiasi fulani kwa hiyo alipata wazo la kutafuta mtaji angalau aanzishe kabiashara.Alipopata mtaji aliamua kuanza biashara ya kuuza pombe za kienyeji.Alikuwa na Uhuru wa kufanya biashara Yake vizuri tu coz alikuwa ashatengeneza uhusiano mzuri na wajeda na kuwapa mlungura kwa hiyo hawakuwa wanamsumbua.Wao walikuwa wanamtembelea baada ya muda fulani na kupewa chochote kitu na kusepa kwao.

Maisha yalikuwa poa Sana kipindi hicho maana pesa ilikuwepo na jamaa alikuwa na uhusiano mzuri na mkewe.
Jamaa alikuwa anakuja kuitembelea familia Yake baada ya muda fulani na Kisha kurudi mjini kuendelea na kazi.

Watu kutoka sehemu mbali mbali walikuwa wanamiminika kwenye nyumba ya yule mama kwa ajili ya kubugia pombe alizokuwa ametengeneza yule mama.Kiukweli mke was jamaa alikuwa anapiga hela ndefu sana kutokana na hiyo biashara yake.

Sasa katika wale wanywaji wa pombe Kuna jamaa mmoja alianza kujenga mazoea yasiyo ya kawaida na mke wa ndugu yangu.Yule jamaa alikuwa anashinda pale kwa muda mrefu Sana akinywa pombe zake huku anapiga stori na mke wa ndugu yangu.
Baada ya muda fulani wakawa wamependana.Kumbuka yule jamaa naye alikuwa na familia yake,Yaani mke na watoto.

Waliendelea na mahusiano yao kisirisiri Hakuna mtu aliyejua coz jamaa alikuwa anazuga tu kunywa pombe kumbe alikuwa na ajenda nyingine.
Ilifikia wakati akaanza kuja kulala kwenye hiyo nyuma na mke wa ndugu yangu.

First born wa ndugu yangu alikuwa anaitwa Joel na kipindi hicho alikuwa amefikisha miaka minne.
Kumbe Joel kilikuwa na uelewa mkubwa Sana kwani kalikuwa kameshausoma mchezo wa mama Yake na yule mwanaume wake ila kalikuwa kanauchuna tu mpaka siku baba anarudi kutoka kazini ili kampe mchongo mzima.
Joeli alikuwa anaona jinsi mama Yake alivyokuwa anamfungulia mlango yule jamaa mida za Usiku.Joel alikuwa anaona jinsi jamaa alivyokuwa chumbani kwa mama Yake na kushinda huko muda mrefu.

Sasa ndugu yangu alipopewa likizo kazini aliamua kufululiza Moja kea Moja Hadi nyumbani kwake kuja kuitembelea familia Yake Kama kawaida Yake.
Mara hii alipokuja alimkuta mkewe kubadilika Sana kitabia.Yaani alikuwa amenza kuwa mjeuri Sana mixer kumjibu mumewe hovyo.
Kimbembe chenyewe Sasa kilianzia chumbani kwani mke aligoma kbsa kumpa mumewe mzigo ale.Kila jamaa alipokuwa anajaribu kumgusa mkewe mke alikuwa alikuwa anarusha mikono na kusonya huku akisema Hana hamu ya kufanya tendo.
Ukawa Ni mwendo wa kulala mzunguko wa nne hakuna kugeukiana.Mke wa jamaa alikuwa amenogewa na dushe la mchepuko wake kwa hiyo hataki kusikia habari za mumewe.

Sasa siku Moja Joel kalitime mama ametoka kiasi kakawa kamebaki na baba tu,kakaamua kujilipua kakamweleza baba kila kitu mama alichokuwa anafanya na yule mchepuko wake kwenye nyumba ya.Ndugu yangu alistuka sana kusikia maneno Kama hayo kutoka kwa mtoto Kama yule.

Jamaa alipomdadisi mkewe kuhusu ishu yenyewe Ila mke alimkatalia kbsa akasema Hakuna kitu Kama hicho huyo alikuwa mteja was pombe tu.
Jamaa hakuridhika na maneno ya mkewe akaamua kuita kikao Cha familia ili kutatua Hilo suala.

Kikao kikaitwa na watu kadhaa wa familia akiwemo baba yangu wakahudhuria.Jamaa alihakikisha mpaka Joel naye yupo Kwenye kikao ili atoe ushahidi wa Yale aliyoyashuhudia.
Jamaa alikuwa ameapa kwamba iwapo mkewe atapatikana na hatia ya kuchepuka Basi ndio itakuwa mwisho wa ndoa yao kila mtu ashike hamsini zake.

Mambo yaliongeleka mengi Sana hasa kutoka kwa jamaa yet.Alisema aliporudi kazini alimkuta mkewe amebadilika Sana Hadi kufikia hatua ya kumnyima unyumba.
Tatizo mke wa jamaa naye badala ya kujishusha akiri makosa Yake na ikiwezekana asemehewe,yeye aliendelea kuonyesha jeuri Yake pamoja na kuongea pumba tupu kwenye kikao.Alidai yeye Yuko tayari kuachana na mumewe kwani ashamchoka.
Mke hakukana ushahidi ulitolewa na Joel pamoja na watu wengine waliokuwa wameustukia mchezo wa huyu mwanamke na mchepuko wake.

Waliachana kwa hasira Sana na mke akafungasha akarudi kwao jamaa akabaki na wanaye ndoa ikawa Imevunjika hivo.
Mmmmm
 
Back
Top Bottom