mke wa mtu ani pm

images
ndo nini sasa mamii!
 
AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA....( Mithali 6: 32-33)
Wanaume wengi hawana akili kabisa najua hata hapa wanasoma hii coment lakini hawaelewi....hii ndo sababu ya msingi.
( kwa wasomaji wa bibilia wanaujua sana huu mstari... sijui kama msaafu na wenyewe una hii reference)
 
AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA....( Mithali 6: 32-33)
Wanaume wengi hawana akili kabisa najua hata hapa wanasoma hii coment lakini hawaelewi....hii ndo sababu ya msingi.
( kwa wasomaji wa bibilia wanaujua sana huu mstari... sijui kama msaafu na wenyewe una hii reference)
JayK wanazini kupitia simu na pc zao tu,
 
Last edited by a moderator:
Slave nimekuja.... nimekuja... tupige madili hayo

poa baab.! Kuna mshua mmoja anatakiwa kupelekwa mabwepande fasta digalla kafika bei atatuacha na box tano pamoja na poda ya kukata nishai.!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom