hahahaaa ndugu yangu Lady doctor
achana na huyo Slave usijefarikishwa kabla ya siku!!
mwenzangu jiengue taratibu
mke wake baunsa akhaaaa!!
​si na binamu au kashaporwa?
ouyaah bro nipe dili msela nipate mihela, The secretary nitakuletea mpaka geto ngoja nimcheki challa wangu manoah tupange umafia mpaka chit chat itikisike.
​hahahaaaa!!umeona eeee!!mmh...! Kweli my dia ngoja nijimuvuzishe taratibu hiki kibibi kisije kikanitoa roho kigoli mie kah..!!
JayK wanazini kupitia simu na pc zao tu,AZINIYE NA MWANAMKE HANA AKILI KABISA....( Mithali 6: 32-33)
Wanaume wengi hawana akili kabisa najua hata hapa wanasoma hii coment lakini hawaelewi....hii ndo sababu ya msingi.
( kwa wasomaji wa bibilia wanaujua sana huu mstari... sijui kama msaafu na wenyewe una hii reference)
poa baab.! Kuna mshua mmoja anatakiwa kupelekwa mabwepande fasta digalla kafika bei atatuacha na box tano pamoja na poda ya kukata nishai.!