Mkuu yani wewe kuambiwa umeotwa imekuwa nongwa? Ulipaswa kujibu msg ya huyo mdada, ujue ndoto yenyewe. Yaweza ikawa aliota "Umejinyea kwenye kadamnasi kubwa", huoni ungetia aibu? Hudhani kwa ndoto yake ingekuokoa mengi? TATIZO LAKO AKILI YAKO INAWAZA NGONO. Hivi kwa nini hukujibu text ya mdada wa watu?
Mambo ya kulana denda ni uchafu uliopitwa na wakati, unakula kitumbuwa na yeye anakula ndizi. Mwambie aka ote tena.
Duh. Huu ushauri balaa! Afanye hivyo kwa mke wa mtu? Kweli?..... unakula kitumbuwa na yeye anakula ndizi. Mwambie aka ote tena.
Ok... nimekuelewa sijakusoma vizuri.... Sorry. Naomba nikuulize swali.... Leo hii unarudi kwako unakutana na mumewe anakuambia kapata safari, na unahakikisha kabisa kua mumewe kaondoka. Unarudi kwako ile uingie ndani HAMADI! Yupo kwko naked sebuleni kwako anaangalia movie with a drink in her hands... anakuna tu anakuambia "I am sorry nimekuja bila taarifa, nimeboreka peke yangu nyumbani nimeona jioni hii nii spend hapa kwako" Utafanya nini??
- Utaingia kusanya nguo zake na kumwambia avae na kuondoka tena kwa Ukali!
- Utaonesha kutojali uwepo wake (huku roho yako na biologia yako vikishangilia) kua hatimae siku imefika...
- Utaondoka hapo kwako ili umpigie simu kua ukute kaondoka
- Ama tu mara moja utavua nguo na wewe ili muweze banjuka...
Naomba nijibu kwa ukweli, tupo jamvini hapa hakuna haja ya pretense....
mke wa mtu sumu
mpe mwenzio anachotaka jamani lol!
usimuonee mwenzio amesema mdada kamuota wanakula DENDA.sasa maneno mengi ya nn hapo.
umekurupuka...soma post za watu vizuri!...
Thank you Shemale KABAKABANA..